Haya ndiyo Mambo yaliyowapumbaza mashabiki wa Simba sc na kusahau kuhoji mwenendo mbovu wa timu yao

HUNA HATA AIBU MKUU
Nadhani aibu muanze kuona nyinyi maana mlizani huku klabu bingwa ni shirikisho na mkadhani wanaoishia robo fainali ni wazembe au hawana timu ya kupambana, haya sasa kiko wapi sasa nyie wenye timu bora mmebaki kulilia kosakosa iwe goli kuficha aibu yenu ya kuishia robo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…