Nadhani aibu muanze kuona nyinyi maana mlizani huku klabu bingwa ni shirikisho na mkadhani wanaoishia robo fainali ni wazembe au hawana timu ya kupambana, haya sasa kiko wapi sasa nyie wenye timu bora mmebaki kulilia kosakosa iwe goli kuficha aibu yenu ya kuishia robo