Haya ndiyo maneno ya Flora Mbasha kwa mumewe

wewe acha kuropoka. angekuwa ndugu yako usingefuatiliza magazeti ya udaku na maneno machafu ya mbasha kuzidi kumkandamiza mdada huyu ili kuficha mauchafu yake mbasha. shindwa!
 
Ninavyojua kwa mcha Mungu vita yake huwa si ya damu na nyama wala maneno bali ni kwa roho ya giza, kama kweli mumewe alikuwa anataka tigo halaf anasema hakusea kokote ili kumrinda mumewe ni uongo maana yake anaweza kuwa tayari tgo ametoa lasivyo angemshirikisha kiongozi wake wa kiroho ili wakemee hilo pepo, na hauwezi kuondoka halafu uendelee kudai kuwa unampenda mtu, yeye ni mtumishi wa Mungu na Mungu pekee ndo alikuwa suluhisho wa hilo tatzo, sasa hayo unakuja kuyazungumza wakt uliondoka na tayari una mtoto na majibu ya huyo mtoto haujatoa kama ni wa mumeo au wa mchepuko, kama ni wa mumeo kwa nini hukutaka awajibike katk matunzo yake? hata ulipojifungua hukusema, huu usanii mnaoufanya mpaka kwa Mungu majibu yake ndo hayo leo unahangaika kuandika article kubwaa kujisafisha katubu kwanza kwa Mungu wako
 
Mimi swali langu ni kwa nini azungumze haya wakat huu ambao majibu ya mtoto ni wa nani yanahitajika???ni uzembe wa hali ya juu mtu kuamini alichozungumza ni sahihi
 
Mahaba nipoteze kwenye mapango ya amboni?
swali ni moja tu kwanini umezaa na gwajima?,je utatuthibitishiaje kuwa wewe si malaya?

napata shida kumwamini frola!!hii inaweza kuwa tufe wote!
 

mkuu huyu unamfaham vizuri eh?mbn umeongea kwa hisia ivo?
 
mkuu huyu unamfaham vizuri eh?mbn umeongea kwa hisia ivo?

kiongoz acha tu!! huyu mdada anataka kuwafanya watu wapumbavu! wako kimya coz wameacha Mungu mwenyewe atenganishe giza na nuru..!!! majibu yaja mda si mrefu!
 
kiongoz acha tu!! huyu mdada anataka kuwafanya watu wapumbavu! wako kimya coz wameacha Mungu mwenyewe atenganishe giza na nuru..!!! majibu yaja mda si mrefu!
Funguka mkuu wanwake wa hivi wananikera sana
 
Ni upumbavu mume anakunyanyasa miaka 8 Upo kimya hata ndugu zake, zako hujawaambia. kisa navumilia atabadirika. then unasema Alikua anaitwa kwenye vikao vya usuluhishi. kusuluhisha nini sasa??? ajipange aanze maisha mpya. kuongea sana hakutampeleka popote. kama ana issue za kumalizana na mumewe, then ahusishe vyombo husika na sio kina shigongo.
 
Tusubirie s3e5 Mbasha mwenyewe aje kuongea...no comment
 

rise and fall
 
Issue yake ni sawa na ya Jidde,poleee.Mungu atamtegemeza.
 
We Frola Malaya Mkubwa Tu , Big Ass... Subiria Mfiro Wa Gwajima.. Nyoo! Kahaba Mkubwa Kalime ... Wewe Na Aliye Kuwa Mmeo Mmeipaka Kinyesi Madhabau..,
 
Inawezekaana anayosema huyu dada yana ukweli ndani yake lakini jamaa nae ana mambo ya kizamani sana sasa unalala na panga kisa kumtisha mkeo si ujinga huo. Wanaume wengine hamnazo kabisaa.
Mkuu tayari umeshayaamini yote na kuanza kumponda tena jamaa, kwenye ugomvi wa pande mbili mengi huwa tunayasikia na kama una uzoefu wa kutatua migogoro unaweza ukabaki undecided maana kila mmoja anashusha shutuma kiasi kwamba unaziamini kwa jinsi zinavyoshushwa. Ukweli wanaujua wenyewe pia hawa watu wanaofanya kazi / huduma ambazo zinawafanya wajulikane hasa kwetu Tz wanatakiwa wawe makini sana na vyombo vya habari maana matatizo yenu yanachukuliwa kwa maana mbili moja ni fursa ya kibiashara kwa kuwa wengi humu Tz umbea ndio habari ya mjini ala ya pili kuufahamisha umma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…