Haya ndiyo matokeo ya shule ya sekondari ya kata atokayo mwigulu nchemba

Haya ndiyo matokeo ya shule ya sekondari ya kata atokayo mwigulu nchemba

mwaka huu tutayasikia na kuyaona mengi na bado tutawakomesha tu siwanajifanya kutudharau waalimu.cheza rafu zote ila usicheze rafu na mwalimu maana yeye ndiye mwenye mamlaka na learners wote either kuwapa matango original or pori.mwigulu kazi unayo.
 
mtakumbuka kuwa mheshimiwa naibu waziri wa fedha mwaka jana aliisifia serikali kupita kiasi kuwa inachapa kazi kwa kile kilichoitwa kustandardize matokeo. Leo hii ona matokeo ya wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka jana (2013) katika shule ya kata atokayo yeye. Ikumbukwe kuna watoto wa kaka zake, wajomba zake jirani zake, ndugu jamaa na marafiki zake na wapiga kura wa kata yake ambao wana watoto pale. Ila inasemekana serikali naye anaisimamia serikali vizuri kwa kufaulisha kwa kiasi hiki. Hongera nchemba pole kwa wapiga kura

Eti naibu waziri wa fedha,kweli cc ni janga,hata walimu kashindwa kuwatafuta???hili ni janga nalo
 
Aaaah,Chemba unaona aibu hiyo? Achana na kuifuatilia CDM fanya mambo ya msingi kwa maendeleo ya wapiga kura wako,MUUWAJI MKUBWA WEWE na laana iwe juu yako daima.
 
Embu nenda kaangalie matokeo ya kidato cha nne kwenye majimbo ya Kiongozi mkuu WA kambi rasmi ya upinzani na mnadhimu mkuu WA kambi rasmi ya upinzani bungeni!

Hata kama yatakuwa mabaya kwani wao ndo wanaunda serikali? Serikali ndo inatakiwa ihudumie hizo shule, wapinzani kazi yao kufikisha kero za majimbo yao kwa serikali, rejea kazi za mbunge. Mtoa hoja alichokusudia ni kueleza namna bwa. mwigulu Anavyoitetea serikali hata kwa yale ambayo haikupaswa kutetewa zaidi alitakiwa aeleze kero za jambo lake na serikali ichukue hatua.
 
Namshauri aende akamwone Mheshimiwa Sugu,Mbunge wa Mbeya mjini ambaye shule ya St Francis toka jimbo lake la Mbeya Mjini imekuwa ikishika nafasi ya kwanza kitaifa tokea Sugu aingie madarakani.Na Mbeya jiji imekuwa ikiongoza katika matokeo ya Majiji Tanzania.Pamoja na kuishia kidato cha nne,Sugu amekuwa akichukia sanasana watu wanaochakachua elimu,ndio maana alimng'ang'ania Mlugo mpaka kaondolewa kwenye baraza la mawaziri.

Namshauri asione aibu kumwomba ushauri Sugu hata kama yeye mwenyewe Mwigulu nasikia ana vyeti vya kuungaunga.Ni aibu kwa matokea ya mwaka huu shule kukosa Div I,St Francis wanafunzi waliofeli ni waliopata Div II nao wako 7 tu.wengine wote ni Div I,mmoja kapewa penalt lakini ana Div I.Zaidi ya wanafunzi 87 wana Div I,lakini kwa Mwigulu wanaanzia Div III,aibu kubwa sana Mhe Mwigulu,kamwombe ushauri Sugu usione aibu Mheshimiwa!
 
Kwani Nchemba ndo aliowafundisha au?, acheni majungu!

Hoja si kuwa mwalimu wa somo la uchumi, hoja hapa alishiriki vipi kuunganisha nguvu zake pamoja na kamati ya kuendesha shule hiyo ili ipate mafanikio ya matokeo mazuri?kuna kushiriki kuunganisha nguvu ya jamii iliyopo kama kujenga maabara, kujenga makataba, kutafuta vitabu vyote vya ziafa na kiada, kutafuta pesa ya kuongezea posho walimu ili wawe na hamasa ya kufundisha hata masomo ya ziada.Kuhakikisha watoto wanapata chakula wakati wa masomo.Kushirkiana na wazazi /walezi kujenga maadili mema kwa wanafunzi wajisomee bila kutoroka na kufanya mambo yasiyokuwa ya msingi.Kuna mamabo mengi anatakiwa kuwajibika na si kusema hakuwa mwalimu.Kutokufaulu kwa shule ndogo kama hiyo ina maana kuna ombwe la uongozi.je, uwaziri ataumudu vipi kama masuala madogo kama haya yanamshinda?
 
Hayo madogo huku kwetu ckonge tbr yetu ya kata two 1 na three 1 the rest ni 4 na zero kibao ipo kwenye kumi bora kiwilaya.. mb wao ni ccm...
 
sasa si utafute kifungulio? Ama nenda kwenye internet cafe kama simu yako haiwezi kufungua ila kwa kifupi ni haya

s2646 kyengege secondary school


div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 5 div-iv = 24 div-0 = 21


Kumbe ndo maana jimboni kwake anapataga kura za kumpeleka bungeni! Kata ina zalisha mbwira kibao kila mwaka!
 
Back
Top Bottom