Haya ndiyo yatakayoiua CHADEMA

Mtanifanya nilie...yaani mnadiriki kusema CHADEMA ilishakufa? 😕
 
Lakini tufike mahali tukubaliane kimsingi tu kwamba GT anavuta kale ka sigara kakali
 

nadiriki kusema huu ni upumbavu..yes i said it ni upumbavu..Kama wewe si mwanachama wa CHADEMA yanakuhusu nini hata ikifa.Nadhani na wewe binafsi una oganizesheni mbovu ndio maana unatumia muda wako kuchambua mambo ya chama kisichokuhusu...Iacheni CHADEMA yetu...
 
CHADEMA hailei watu wanaosumbua na mamluki kama ilivyo kwa li chama fulani hivi..linakumbatia mauozo mpaka wanaowakumbatia wanataka kukipasua chama lakini wanawang'ang'ania tu..
 
Zawadi Ngoda,
Ikiwa Mbowe alikuwa DJ, na mwenyekiti mwingine akiwa askari akiyarudi mayenu ya Mbowe kuna ubora gani kwa huyo mwenyekiti mwingine!
Ubora upo kwa huyo aliyekuwa akiyarudi. Kwa sababu katika free time, likizo au week end kila mtu hutafuta kitu nje ya profesion yake ili kutuliza akili. Wengine huenda kuogelea, wengine kuvua samaki, wengine kucheza mpira au tenis na wengine kwenda Birikana.

Lakini huyu Mbowe, U-DJ NDIO Profesion yake. Hukaa toka j'tatu mpaka ijumaa akifikiria juu ya kuboresha fani hiyo. Yeye hafanyi hivyo kama kupoza kichwa bali yupo kazini.

Kwa hiyo hata Chama anakiendesha ki-DJ, DJ. nA HATA AKIPATA NCHI ATAFANYA HIVYO HIVYO. wAUUUU!!!!!!!!
 
Reagan alikuwa mcheza sinema na kawa rais tena maarufu wa kusifika, iwe Mbowe...Ama kweli Miafrika bwana inaongozwa na watu wenye Phds kina Mugabe ndio kwanza matatizo yanazidi..Hata katika ndoa za kiafrika ati siku hizi watu wanatafuta mwenza mwenye Phd..
Jamanii eeeh, Ujanja kupata sii kutangulia tena!
Karagabaho!
 
Mkuu Mkandara nilikuwa sijui kama reegan alkuwa mcheza sinema..hahaaa na swazzenerger as well leo hii ni gavana huko marekani..Mitanzania ndivyo tulivyo tunapenda tuongozwe na wenye mi PhD fake kwa kuwa wengi wetu akili zetu ni fake na zinaamini kuwa ukiwa msomi basi ndo unaweza kuongoza....poor mitanzania
 
nne - udini(ukatoliki)
tano - ukabila (chagga)
Inasikitisha sana hoja hii kuendelea kuishikia bango. Kama hayo ni ya kweli, mbona Mwenyekiti Mbowe ni Mlutheri na sii mkatoliki na Katibu mkuu ni Muiraki/Mbulu(kama sikosei) na si Mchaga? Wakati mwingine tuking'ang'ania hoja za kijinga tunaweka wazi ujinga wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…