SOSDANNY JF-Expert Member Joined Feb 17, 2013 Posts 453 Reaction score 444 May 24, 2013 #21 mmewashau wangoni moja ya kabila kubwa hapa tanzania na wanajua kutunza WANAWAKE, Wenyewe usiwakabizi mke hata fika lakini PESA zinafika bila wasi wasi.
mmewashau wangoni moja ya kabila kubwa hapa tanzania na wanajua kutunza WANAWAKE, Wenyewe usiwakabizi mke hata fika lakini PESA zinafika bila wasi wasi.
N Ndala ndefu JF-Expert Member Joined Dec 24, 2012 Posts 237 Reaction score 42 May 26, 2013 #22 Wahangaza ongezea hapo bhana!
justin mwanshinga Senior Member Joined May 22, 2014 Posts 179 Reaction score 621 Jun 22, 2016 #23 warumi said: 1.wachaga 2.wahaya 3.wanyakyusa Click to expand... WASAFWA wenyeji wa mkoa wa mbeya wenye tafsiri ya neno mbeya lenye maana chumvi yaani ibheya
warumi said: 1.wachaga 2.wahaya 3.wanyakyusa Click to expand... WASAFWA wenyeji wa mkoa wa mbeya wenye tafsiri ya neno mbeya lenye maana chumvi yaani ibheya
bigmind JF-Expert Member Joined Oct 28, 2015 Posts 12,457 Reaction score 12,689 Jun 23, 2016 #24 WaKurya..