Haya ni baadhi ya niliyojifunza kuhusu ujasiriamali

Haya ni baadhi ya niliyojifunza kuhusu ujasiriamali

x - mas

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
931
Reaction score
612
Amani iwe nanyi haya ni
mambo machache niliyo jifunza humu jf:
1.Ni vema kuanza na mtaji mdogo kama huna uzoefu na bishara unayotaka
kuianzisha.

2.Ili upate uzoefu unawezafanya kazi hata kwa kujitolea kwa mtu
anaefanya bishara kama unayo taka na wewe kufungua.

3. Uzoefu ni nguzo ya biashara yoyote kufanikiwa.

4.Angalia usalama wa mtaji kwanza kabla ujaangalia faida unapo taka
kuanza biashara yako.

5.Ni sawa na mwanajeshi kuingia uwanja wa vita kwa mtu anaye acha
kuajiriwa na kuingi kwenye ujasirilia mali kwa dhana ya
kuchoma meli moto i.e kufa au kupona.

6.tafuta wateja wengi,ukipata mteja muhudumie vizuri na bidhaa/yako iwe
bora,hayo mambo matatu ni muhimu sana katika biashara yako.

7.badili namna nyingine ya kupata wateja inapotokea wenzako wanavuta
wateja kwa njia ya kushusha bei ya bidhaa.

Mwenye akili na aelewe.
 
Amani iwe nanyi haya ni
mambo machache niliyo jifunza humu jf:
1.Ni vema kuanza na mtaji mdogo kama huna uzoefu na bishara unayotaka
kuianzisha.

2.Ili upate uzoefu unawezafanya kazi hata kwa kujitolea kwa mtu
anaefanya bishara kama unayo taka na wewe kufungua.

3. Uzoefu ni nguzo ya biashara yoyote kufanikiwa.

4.Angalia usalama wa mtaji kwanza kabla ujaangalia faida unapo taka
kuanza biashara yako.

5.Ni sawa na mwanajeshi kuingia uwanja wa vita kwa mtu anaye acha
kuajiriwa na kuingi kwenye ujasirilia mali kwa dhana ya
kuchoma meli moto i.e kufa au kupona.

6.tafuta wajeja wengi,ukipata mteja muhudumie vizuri na bidhaa/yako iwe
bora,hayo mambo matatu ni muhimu sana katika biashara yako.

7.badili namna nyingine ya kupata wateja inapotokea wenzako wanavuta
wateja kwa njia ya kushusha bei ya bidhaa.

Mwenye akili na aelewe.

Asanteee
 
Mkuu tru kabisa, kinacho taiwa so far ni vitendo, kuliko maneno, ni wakati sasa wa kupractise
 
Umenikumbusha mbali! Nakumbuka mie nilichoma MELI MOTO hahaha niliresign na umri huhu huu wa ujana hahaha, wafanyakazi wenzangu ofcn walisema mie muongo eti nitakuwa nimepata kazi kubwaaaa (mawazo yale yale ya watz kupenda kuajiriwa), nilijipa moyo sana tu ingawa kawoga kweli kalikuwemokuwemo, nikaresign nikaanza zangu, ila changamoto ya kujiajiri ni kuwa usiwe mvivu-ukiwa mvivu ni balaa, pia ujitume kisawasawa, mwanzo inachosha maana unakuwa bize na marketing nk, na unaweza kumaliza kapesa ulikokuwa nako maana wateja wanaweza kuchelewa kuja na matumizi ya ofc pia mengimengi, usiwe na hasira (in case umepata difficult customer-mie mteja wangu mzuri wa kwanza alikuwa balaa ingawa ndo alinitoatoa kidogo), uwe na customer care nzuri, uvumilivu lazima uwemo bila hivi unaweza achia ngazi nk...
 
Umenikumbusha mbali! Nakumbuka mie nilichoma MELI MOTO hahaha niliresign na umri huhu huu wa ujana hahaha, wafanyakazi wenzangu ofcn walisema mie muongo eti nitakuwa nimepata kazi kubwaaaa (mawazo yale yale ya watz kupenda kuajiriwa), nilijipa moyo sana tu ingawa kawoga kweli kalikuwemokuwemo, nikaresign nikaanza zangu, ila changamoto ya kujiajiri ni kuwa usiwe mvivu-ukiwa mvivu ni balaa, pia ujitume kisawasawa, mwanzo inachosha maana unakuwa bize na marketing nk, na unaweza kumaliza kapesa ulikokuwa nako maana wateja wanaweza kuchelewa kuja na matumizi ya ofc pia mengimengi, usiwe na hasira (in case umepata difficult customer-mie mteja wangu mzuri wa kwanza alikuwa balaa ingawa ndo alinitoatoa kidogo), uwe na customer care nzuri, uvumilivu lazima uwemo bila hivi unaweza achia ngazi nk...

Ni kweli Kuchoma meli Moto kuna Changamoto zake, na usipo kuwa mvumilivu unaweza kimbia fasta, Changamoto ni Nyimgi sana ikiwemo kama Ulivyo sema Wafanyakazi wenzako kupingana na wewe na Upinzani mkubwa kabisa huwa ni kutoka kwa Mpenzi wako, Hapa ndo huwa kizingiti kukibwa kabisa
 
Umenikumbusha mbali!
Nakumbuka mie nilichoma MELI MOTO hahaha niliresign na umri huhu huu wa
ujana hahaha, wafanyakazi wenzangu ofcn walisema mie muongo eti nitakuwa
nimepata kazi kubwaaaa (mawazo yale yale ya watz kupenda kuajiriwa),
nilijipa moyo sana tu ingawa kawoga kweli kalikuwemokuwemo, nikaresign
nikaanza zangu, ila changamoto ya kujiajiri ni kuwa usiwe mvivu-ukiwa
mvivu ni balaa, pia ujitume kisawasawa, mwanzo inachosha maana unakuwa
bize na marketing nk, na unaweza kumaliza kapesa ulikokuwa nako maana
wateja wanaweza kuchelewa kuja na matumizi ya ofc pia mengimengi, usiwe
na hasira (in case umepata difficult customer-mie mteja wangu mzuri wa
kwanza alikuwa balaa ingawa ndo alinitoatoa kidogo), uwe na customer
care nzuri, uvumilivu lazima uwemo bila hivi unaweza achia ngazi
nk...

well said.
 
Amani iwe nanyi haya ni
mambo machache niliyo jifunza humu jf:
1.Ni vema kuanza na mtaji mdogo kama huna uzoefu na bishara unayotaka
kuianzisha.

2.Ili upate uzoefu unawezafanya kazi hata kwa kujitolea kwa mtu
anaefanya bishara kama unayo taka na wewe kufungua.

3. Uzoefu ni nguzo ya biashara yoyote kufanikiwa.

4.Angalia usalama wa mtaji kwanza kabla ujaangalia faida unapo taka
kuanza biashara yako.

5.Ni sawa na mwanajeshi kuingia uwanja wa vita kwa mtu anaye acha
kuajiriwa na kuingi kwenye ujasirilia mali kwa dhana ya
kuchoma meli moto i.e kufa au kupona.

6.tafuta wateja wengi,ukipata mteja muhudumie vizuri na bidhaa/yako iwe
bora,hayo mambo matatu ni muhimu sana katika biashara yako.

7.badili namna nyingine ya kupata wateja inapotokea wenzako wanavuta
wateja kwa njia ya kushusha bei ya bidhaa.

Mwenye akili na aelewe.
kwa hiyo kipya hapa ni nini? au Mtaji mdogo ni upi?
 
nimeeanza kufanya mambo,innshaallah tutakutana bank at bulk teller
 
Back
Top Bottom