Cordy bnei shirk
JF-Expert Member
- Dec 13, 2017
- 331
- 252
Kama zanguu yaaaniUmeiba wapi??
Hili sio swali nililouliza, mwenye hayo mawe amekufa kama miaka kumi iliyopita.Umeiba wapi??
Ahaa shukran sana, sasa yapo tofauti tofauti na yapo kidogo tu. AsanteYanapatikana mahali kwenye dhahabu za kwenye udongo.
Yana thamani ila si kubwa sana.
Ukipata kg 1 angalau unapata shekeli
Kauze Tunduru. Hutakosa ya mbogaAhaa shukran sana, sasa yapo tofauti tofauti na yapo kidogo tu. Asante