Haya ni Madini gani jamani?

Haya ni Madini gani jamani?

ulimi waupanga

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2014
Posts
493
Reaction score
1,223
Yamepatikana uko maeneo ya SongeaView attachment 1006711
IMG-20190127-WA0000.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Green tourmaline hebu weka ambayo hayajachongwa hata kidogo ili tutoe final identification tukupe na bei, yanapatikana eneo gani huko songea?
 
Ngugu nashukuru sana kwa majibu yenye akili japo kuna wengine wenye kebehi za Kitoto nimewasamehe bure!
Ukweli ni kwamba iyo haijachongwa imekutwa ivyo ivyo ilivyo ikiwa na umbo kama groli, ni Songea wilaya ya Namtumbo maeneo ya Likuyu Seka.
Green tourmaline hebu weka ambayo hayajachongwa hata kidogo ili tutoe final identification tukupe na bei, yanapatikana eneo gani huko songea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngugu nashukuru sana kwa majibu yenye akili japo kuna wengine wenye kebehi za Kitoto nimewasamehe bure!
Ukweli ni kwamba iyo haijachongwa imekutwa ivyo ivyo ilivyo ikiwa na umbo kama groli, ni Songea wilaya ya Namtumbo maeneo ya Likuyu Seka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa majibu mazuri nitakutafuta, weka namba yako ya simu nitakutafuta, nitagharimia shughuli zote tutakatana kwenye mapato
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu, nimewaza hivyo pia
hizo goroli mkuu.... huyu mtu anahitahi counseling maana nahisi kashapigwa na wajanja [emoji23][emoji23] goroli za mia 500 kauziwa milioni 7 ukute kaambiwa ni green tourmaine sijui [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni utani nyie.

Kwamba wewe ukiishika gololi hauijui?

Nyepesi vile?

Plus jamaa hawezi kua kanunua. Atanunuaje kitu halafu ndiyo aje kuuliza ni nini?

Msimfanye jamaa mjinga wazee, pengine kamera yake tu ndiyo imemuangusha.
 
Acheni utani nyie.

Kwamba wewe ukiishika gololi hauijui?

Nyepesi vile?

Plus jamaa hawezi kua kanunua. Atanunuaje kitu halafu ndiyo aje kuuliza ni nini?

Msimfanye jamaa mjinga wazee, pengine kamera yake tu ndiyo imemuangusha.
Angalia umesema jambo kuna mtu anajinya mjuaji wakati ata quartz haijui, ww uko pori kamera ya MP 60 utaitolea wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishawahi kutembea umbali wa masaa 9, msitu kwa msitu nikiambiwa kuwa ninakokwenda imeokotwa Sapphire. Ndani ya hayo masaa 9 nadhani nilijenga maghorofa yote unayoweza kujenga hewani, nadhani nilinunua mpaka wilaya mojawapo hapa Tanzania. Kufika kule nilikutumia na goroli kama hilo. Sikuwa mtumiaji wa pombe za kienyeji but ilinibidi nizinywe tu ili kubomoa Yale maghorofa na kuurudisha mji wa watu .... Be careful
 
Hizo ni golori huwaga zinawekwa kwenye dawa/rangi za kupuliza

Unakuwa unatikisa unasikia kwa ndani kitu kinalia ili rangi ichanganyike vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishawahi kutembea umbali wa masaa 9, msitu kwa msitu nikiambiwa kuwa ninakokwenda imeokotwa Sapphire. Ndani ya hayo masaa 9 nadhani nilijenga maghorofa yote unayoweza kujenga hewani, nadhani nilinunua mpaka wilaya mojawapo hapa Tanzania. Kufika kule nilikutumia na goroli kama hilo. Sikuwa mtumiaji wa pombe za kienyeji but ilinibidi nizinywe tu ili kubomoa Yale maghorofa na kuurudisha mji wa watu .... Be careful
Hahaaaa!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishawahi kutembea umbali wa masaa 9, msitu kwa msitu nikiambiwa kuwa ninakokwenda imeokotwa Sapphire. Ndani ya hayo masaa 9 nadhani nilijenga maghorofa yote unayoweza kujenga hewani, nadhani nilinunua mpaka wilaya mojawapo hapa Tanzania. Kufika kule nilikutumia na goroli kama hilo. Sikuwa mtumiaji wa pombe za kienyeji but ilinibidi nizinywe tu ili kubomoa Yale maghorofa na kuurudisha mji wa watu .... Be careful
😅
 
Back
Top Bottom