wewe unaweza kukaa na kurelax kwenye sehemu kama hiyo...kwanza nina wasiwasi hata umeme hautakuwepo kutokana na hayo mafuriko...well labda ni photostore
Nimeshawahi kuirusha hii sehem ila nikweli hayo ni mafuriko naona socket zipo juu japo si unamuona mzee anavyotafakari nn cha kufanya kwa pembeni kule!!