Haya ni maharage gani?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Kwa Kiha yanaitwa KINULE!

Kwa Kiswahili yanaitwaje? Au ndiyo NGWARA?

Yanalimwa zaidi nchini Burundi. Ni watu wachache sana wanaoyalima Kigoma. Mengi yaliyopo "masokoni" Kigoma yametoka huko.

Kwa anayefahamu atusaidie jina kwa Kiswahili na upatikanaji wake ulivyo, na bei pia, katika miji mikubwa kama Dar, Mwanza, na Arusha.

AsanteπŸ™

 
Mkuu ungeweka mbegu yake tuone inafananaje.. Majani nimejaribu kuzoom sijaambulia kitu maana majani hua yanafanana
Mbegu yake sijaiona mkuu. Ila naweza nikaletewa kesho. Nimemwomba mtu anitafutie ili nijue kama ni NGWARA au ni aina nyingine ya maharage jamii ya NGWARA.
 

Attachments

  • VID_20231219_185513.mp4
    64.4 MB
  • IMG_20231219_185528_959.jpg
    652.8 KB · Views: 11
  • IMG_20231219_185525_621.jpg
    763.3 KB · Views: 12
Kwa kilo shi ngap? Na yanavunwa baada ya wiki ngapi? Na soko lake ni nchi gani huko makuuu.
Alisikika mkenya fulani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wanayauza sokoni sh 2,000/= kwa kopo. Yanazidiwa bei na maharage ya njano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…