GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Mbegu yake sijaiona mkuu. Ila naweza nikaletewa kesho. Nimemwomba mtu anitafutie ili nijue kama ni NGWARA au ni aina nyingine ya maharage jamii ya NGWARA.Mkuu ungeweka mbegu yake tuone inafananaje.. Majani nimejaribu kuzoom sijaambulia kitu maana majani hua yanafanana
Okay, ukiweka picha ya mbegu itakua rahisi kutambuaMbegu yake sijaiona mkuu. Ila naweza nikaletewa kesho. Nimemwomba mtu anitafutie ili nijue kama ni NGWARA au ni aina nyingine ya maharage jamii ya NGWARA.
Ndo hua yanakuaje mkuu?Hayo ndio Maharage Chande
Yanakata umeme hovyo hovyo tuNdo hua yanakuaje mkuu?
Aisee ππ€π€Yanakata umeme hovyo hovyo tu
Jina ngeni kabisa kwangu!Hayo ndio Maharage Chande
Sawa mkuu! Nitafanya hivyo kwa maslahi mapana ya wanafamilia ya JF!Okay, ukiweka picha ya mbegu itakua rahisi kutambua
Watu wengine mna utani mno! Nimecheka baada ya kuelewa ulichomaanisha!Yanakata umeme hovyo hovyo tu
VizuriSawa mkuu! Nitafanya hivyo kwa maslahi mapana ya wanafamilia ya JF!
Nitafuatatilia. Kesho nitaleta mrejesho.Kwa kilo shi ngap? Na yanavunwa baada ya wiki ngapi? Na soko lake ni nchi gani huko makuuu.
Alisikika mkenya fulani ππππ
Hiyo hapoMkuu ungeweka mbegu yake tuone inafananaje.. Majani nimejaribu kuzoom sijaambulia kitu, majani hua yanafanana
Nimeshaiweka. Yanaitwa KINULE. Ni tofauti na NGWARA. Yanalimwa zaidi Burundi, ingawa yanastawi pia Kigoma lakini wenyeji hawapendelei kuyalima.Hayo ndio Maharage Chande
Wanayauza sokoni sh 2,000/= kwa kopo. Yanazidiwa bei na maharage ya njano.Kwa kilo shi ngap? Na yanavunwa baada ya wiki ngapi? Na soko lake ni nchi gani huko makuuu.
Alisikika mkenya fulani ππππ