Haya ni mambo niliyoyakuta kwenye machimbo ya madini

Haya ni mambo niliyoyakuta kwenye machimbo ya madini

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Siku ya jumatatu tarehe 30-8-2021.

Nilikuwa nasikia machimboni tu, kuna rafiki yangu naye mtu machimbo mwenye mgodi wake!

Nikataka kujua maisha ya machimboni yakoje, basi jumatatu tukatoka kama tarehee niliyotaja kwenda kule.

Maisha yaliyopo machimboni yani sijui ni pesa au watu kudata na kutafuta madini!

Watu wamachimboni hawana tofauti na wanyama kiufupi, sijui kwa sababu wapo maporini au mbali na jamii zenye makazi.

Kuna watu ambao wengine wameshajichoka, kuna watu ambao wana hasira za maisha kwa njia yoyote, kuna watu wapo kwa wakipata basi kutumia zote.

Makundi makubwa ya wanao jiuza ni makubwa na ni ngono zembe kwa asilimia 90.

Matumizi ya pombe, sigara, bangi na vingine ni makubwa ukilinganisha na sehemu ya makazi ya watu.

Kikubwa nilichofanikiwa kujifunza machimboni watu wanaroho mbaya na wakatili sana.

Ndio maana visa vya watu wamachimbo kusikia kafa au kauliwa usishangae
 
Inasikitisha kwenda kujifunza ukatili na roho mbaya. Pamoja na hayo, natumai ulichojifunza kitakuletea maendeleo chanya au gaidi mtarajiwa
 
Siku ya jumatatu tarehe 30-8-2021.

Nilikuwa nasikia machimboni tu, kuna rafiki yangu naye mtu machimbo mwenye mgodi wake!

Nikataka kujua maisha ya machimboni yakoje, basi jumatatu tukatoka kama tarehee niliyotaja kwenda kule.

Maisha yaliyopo machimboni yani sijui ni pesa au watu kudata na kutafuta madini!

Watu wamachimboni hawana tofauti na wanyama kiufupi, sijui kwa sababu wapo maporini au mbali na jamii zenye makazi.

Kuna watu ambao wengine wameshajichoka, kuna watu ambao wana hasira za maisha kwa njia yoyote, kuna watu wapo kwa wakipata basi kutumia zote.

Makundi makubwa ya wanao jiuza ni makubwa na ni ngono zembe kwa asilimia 90.

Matumizi ya pombe, sigara, bangi na vingine ni makubwa ukilinganisha na sehemu ya makazi ya watu.

Kikubwa nilichofanikiwa kujifunza machimboni watu wanaroho mbaya na wakatili sana.

Ndio maana visa vya watu wamachimbo kusikia kafa au kauliwa usishangae

Msisimko
 
Oya life la bush liko tofauti sana unaweza hisi ni galaxy nyingine tofauti na hii ambayo wengi wameizoea. Binafsi naamini kua mchimbaji aliyepitia kazi za machimbo husuani za migodini zile za ponch basi sehemu yeyote ile mtu huyo anaweza survive na hakuna kazi ambayo inaweza kumshinda kutokana na ugumu wake
 

Msisimko
umeolewa?..ni pm kama bado
 
Mkuu,machimboni hawakai watu legelege,kuchomwa moko hadharani kitu cha kawaida
 
Mkuu,machimboni hawakai watu legelege,kuchomwa moko hadharani kitu cha kawaida
Hata ukisoma katika historia ya Marekani enzi za 'gold rush' mambo yalikuwa kama hivyo tu, hakukuwa na utawala kabisa.
 
Back
Top Bottom