sinforosa
Member
- Jul 28, 2011
- 32
- 19
Jamani mi nahisi nimelogwa kila ninapota kuachana na huyu jamaa najikutanimerudiana naye, mbali navituko anavyonifanyia ikiwemo kunicheat na nimeshamfumania na mwanamke ambaye ni X wake mara kadhaa na kwenye simu wakiwasiliana lkn sibanduki hadi police tumeshafikishana na kumlaza ndani siku 1,baada ya kuniomba radhi nikamsamehe mwezi baadaye tukarudiana je hiki ni nn? huwa nawaza sana na hisi akili yangu ataniudhi sana eitha kwa ulevi au maneno mm ndo naumia kwa kumuwaza yeye, sili, silali kila dakika anaclick kichwani. Naomba mnisaidie humu jamvini ni nn hiki?