haya ni maradhi au maumbile?

haya ni maradhi au maumbile?

mwl frank

R I P
Joined
Jul 11, 2011
Posts
78
Reaction score
27
mkuu,nimeshuhudia kwenye tv sherehe za uhuru miaka 50,mh Lukuvi kuchezesha midomo ni maradhi au maumbile? binafsi nimepatwa na huruma juu ya hali hii.
 
anachezeshaje mdomo mkuu? Heb fafanua zaidi...
 
:hatari::hatari: khoooooooooooooo khooooooooooo:hatari::hatari:
 
ni kawaida ya magamba,wanadesturi ya kubinuabinua na kulambalamba midomo!wengi wako hivyo!Hujawahi mwona Nape akifanya hivyo!?
 
midomo muangalie NEPI hadi huwa ananikera yaani anakua ka mtoto wa kike kung'ata ng'ata lips
 
Back
Top Bottom