mwl frank R I P Joined Jul 11, 2011 Posts 78 Reaction score 27 Dec 9, 2011 #1 mkuu,nimeshuhudia kwenye tv sherehe za uhuru miaka 50,mh Lukuvi kuchezesha midomo ni maradhi au maumbile? binafsi nimepatwa na huruma juu ya hali hii.
mkuu,nimeshuhudia kwenye tv sherehe za uhuru miaka 50,mh Lukuvi kuchezesha midomo ni maradhi au maumbile? binafsi nimepatwa na huruma juu ya hali hii.
TANMO JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 11,763 Reaction score 11,873 Dec 9, 2011 #2 anachezeshaje mdomo mkuu? Heb fafanua zaidi...
D david shayo Member Joined Nov 21, 2011 Posts 21 Reaction score 5 Dec 9, 2011 #3 Mbna hujamzungumzia jk alikuwa anatoa ulim nje nae vp?
Munru JF-Expert Member Joined Oct 19, 2010 Posts 1,340 Reaction score 666 Dec 9, 2011 #4 :hatari::hatari: khoooooooooooooo khooooooooooo:hatari::hatari:
Daffi Jr JF-Expert Member Joined Jun 25, 2011 Posts 3,824 Reaction score 909 Dec 11, 2011 #5 ni kawaida ya magamba,wanadesturi ya kubinuabinua na kulambalamba midomo!wengi wako hivyo!Hujawahi mwona Nape akifanya hivyo!?
ni kawaida ya magamba,wanadesturi ya kubinuabinua na kulambalamba midomo!wengi wako hivyo!Hujawahi mwona Nape akifanya hivyo!?
LEGE JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 5,122 Reaction score 9,209 Dec 11, 2011 #6 Dalili za ucameroon hizo!!!
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Dec 11, 2011 #7 LEGE said: Dalili za ucameroon hizo!!! Click to expand... mabwaku sasa :hatari: :hatari:
mikatabafeki JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 12,771 Reaction score 4,649 Dec 11, 2011 #8 midomo muangalie NEPI hadi huwa ananikera yaani anakua ka mtoto wa kike kung'ata ng'ata lips
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,855 Reaction score 24,925 Dec 11, 2011 #9 It is called 'panting', alikua anashusha joto la mwili. I bet jua lilikua kali david shayo said: Mbna hujamzungumzia jk alikuwa anatoa ulim nje nae vp? Click to expand...
It is called 'panting', alikua anashusha joto la mwili. I bet jua lilikua kali david shayo said: Mbna hujamzungumzia jk alikuwa anatoa ulim nje nae vp? Click to expand...
NICK2275 JF-Expert Member Joined Oct 31, 2010 Posts 3,930 Reaction score 920 Dec 11, 2011 #10 tabia za wanamagamba zipo hivyo