Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
- Thread starter
-
- #21
Utaweweseka sanaBasi watujua, vizuri nasi tunawajua vizuri, Sio wewe Gongo wazi, unafanya kazi ya kututambulisha watu tunaojuana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi na weweseka ama wewe ndiyo unweweseka, Yanga inacheza leo huiongelei ila Simba ina cheza keshokutwa, mchezo wa Kimataifa ajabu Yanga mnawashwa washwa.Utaweweseka sana
Mkuu andaa siredi tu duuuMimi na weweseka ama wewe ndiyo unweweseka, Yanga inacheza leo huiongelei ila Simba ina cheza keshokutwa, mchezo wa Kimataifa ajabu Yanga mnawashwa washwa.
Mnawashwa nini, na mech za Simba badala ya kuhamasisheni, mwende kiwanjani, mkashangilie kitimu chenu, kipate vijisenti nyie kwenye mitandao, mnaitangaza Simba tu, kocho anaiongelea Simba, mnakiua kitimu kile.
Siwezi kuchangia hela yanga inaweza ikawa ndogo, siku kama hizi hamasishaneni kuujaza uwanja hata timu icheze wapi, kama wenzenu Simba wanafofanya ukienda inst, Simba huhamasishana kuipenda Kilabu yao.
Tofauti yake nyie mnaona mnapambana nao kwa kuiandika Simba mara nyingi, kumbe ndiyo mnaamumsha mapenzi kwa mashabiki wa Simba, haya nyie Sio mbumbu wala Wapumbavu basi acheni Ujinga maana mu wajinga.
Ujinga sio tusi bali ni kuto kujua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana neshino stadiamuMimi na weweseka ama wewe ndiyo unweweseka, Yanga inacheza leo huiongelei ila Simba ina cheza keshokutwa, mchezo wa Kimataifa ajabu Yanga mnawashwa washwa.
Mnawashwa nini, na mech za Simba badala ya kuhamasisheni, mwende kiwanjani, mkashangilie kitimu chenu, kipate vijisenti nyie kwenye mitandao, mnaitangaza Simba tu, kocho anaiongelea Simba, mnakiua kitimu kile.
Siwezi kuchangia hela yanga inaweza ikawa ndogo, siku kama hizi hamasishaneni kuujaza uwanja hata timu icheze wapi, kama wenzenu Simba wanafofanya ukienda inst, Simba huhamasishana kuipenda Kilabu yao.
Tofauti yake nyie mnaona mnapambana nao kwa kuiandika Simba mara nyingi, kumbe ndiyo mnaamumsha mapenzi kwa mashabiki wa Simba, haya nyie Sio mbumbu wala Wapumbavu basi acheni Ujinga maana mu wajinga.
Ujinga sio tusi bali ni kuto kujua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mpo nje sisi huku mpetupa fursa ya kubet over 4.5 odds 2.12Ukiona wao wanarusha, Crip za zamani kuwatisha wageni wao, jua nao wameogopa, unadhani wangekua wanacheza na Yanga wengefanya hayo. Ila wanajua Simba pamoja na kufungwa na AC Vita siyo timu ya kubeza.
Kwa hiyo ndugu zetu wapenzi wa yanga tulieni, mmalizane na Kakolanya kwanza, wanaumme ndoko nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu jiandaeni tu kisaikologia,maana mnaweza bebeshwa lumbesa la magoli
Sawa,Hamsa itapendezaKweli nimeamini ukiwa shabiki wa yanga ukizeeka lazma uwe mchawi,haiwezekani kijana kama wewe baada ,yakufata mambo yako unahangaika Na club ya Simba wewe inakuhusu nini
Mimi kama shabiki ninae jitambua huwa sitetemeshwi Na mbwembwe za waarabu kufunga au kufungwa yote ni matokeo ya mpira
😁😁😁wanajitoa ufahamu tuHivi kuna mbumbumbu anaamini Mikia watatoka na goli pungufu ya 3? Mikia hawahawa waliolowekwa hamsa kule Congo watoke na nguo huko Alexandria?
Kuota kunaruhusiwa ila usijisaidie haja ndogo na kubwa aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama ni ya 2010
Muhamad Elmansi
Published on Oct 19, 2015
Ni video iliyowekwa mwaka 2015. Kwa hiyo inaweza kuwa ni ya 2015 au nyuma zaidi
Sawa,Hamsa itapendeza