Wadau mtakumbuka baada ya rasimu ya katiba kuwasilishwa kwa Mkulu, mmoja wa wapinzani
wa kkatiba hii alikuwa ni Prof Shivji ambaye ni muumini wa muundo wa sasa wa Muungano.
Binafsi nangojea nione huyu prof atakuja na hoja gani na kwa mtindo upi ili kutetea msimamo wake
ambao nadhani pia CCM walikopi na kupesti wakiamini watashinda kwa hoja kwa kutumia hoja zake-rejea
uchambuzi dhaifu wa Kigwangallah ambao kwa kiasi kikubwa ilikuwa ni marejeo ya kile ambacho Prof Shivji alikwisha kielezea.
Binafsi hapa nangoje tu nione huyu Prof atawadanganyaje tena magamba ili waendelee kuamini kuwa wanaungwa mkono kwa mambo ambayo tayari watanzania hawayahitaji ktk uendeshaji wa nchi ya Tanganyika na Zanziba.
Tunakusubiri sana Prof Shivji!
wa kkatiba hii alikuwa ni Prof Shivji ambaye ni muumini wa muundo wa sasa wa Muungano.
Binafsi nangojea nione huyu prof atakuja na hoja gani na kwa mtindo upi ili kutetea msimamo wake
ambao nadhani pia CCM walikopi na kupesti wakiamini watashinda kwa hoja kwa kutumia hoja zake-rejea
uchambuzi dhaifu wa Kigwangallah ambao kwa kiasi kikubwa ilikuwa ni marejeo ya kile ambacho Prof Shivji alikwisha kielezea.
Binafsi hapa nangoje tu nione huyu Prof atawadanganyaje tena magamba ili waendelee kuamini kuwa wanaungwa mkono kwa mambo ambayo tayari watanzania hawayahitaji ktk uendeshaji wa nchi ya Tanganyika na Zanziba.
Tunakusubiri sana Prof Shivji!