PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
bado unataka kuongeza mke?Uso umeonyesha alivyo bila editing... kumbe yupo yupo tu. Duh!!!
Ameshaolewa?
Mange ana details zote za mimba hii na yeye ndiye anaemfahamu biological father. Sijiu alifanya lini DNA test.
Mange ana details zote za mimba hii na yeye ndiye anaemfahamu biological father. Sijiu alifanya lini DNA test.
bado unataka kuongeza mke?
Unadhani ndoa m@t@k@ kila mtu anayo? 🙄Uso umeonyesha alivyo bila editing... kumbe yupo yupo tu. Duh!!!
Ameshaolewa?
Wanasemaga ndoa sio lazima! Hakuna umuhimu wa ndoaBinti anazaa ovyo bila ndoa, mpaka akifika umri wa uzee atakuwa na kundi kubwa la watoto
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipo kwa kweli, watazaa na wanaume wote katika huu mjiWanasemaga ndoa sio lazima! Hakuna umuhimu wa ndoa