haya sasa wale wa tcu!!!

Status
Not open for further replies.
AIRTEL hawajatupeleka chaka wala nn ongeen vtu vyenye uhakika mm nimejiona kwenye airtel na vilevile nkajiona katka selection zilizotolewa na chuo nilicho apply achen uzushi bhana
 
jamaa kakurupukaa mbona watu wamecheki through airtel na majina yametoka kitu kilekile

kuna mambo ya kukurupuka lakini sio hapa na sikusema majina yote ila baadhi yao hebu tuelewane hapo!!!
 
Huyu jamaa bila shaka amekosea njia,amefikiri hili ni jukwaa la UTANI/JOKES
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…