Haya sio mafuta ya kupikia kweli?

Dejane

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
50,587
Reaction score
71,492
Kuna kaniletea zawadi nipake haya mafuta eti uso wangu umetokewa vichunusi,,jamani chupa kubwa mi ntaimaliza lini sasa ,halaf najiuliza haya sio mafuta ya kupikia haya kweli
Hayana harufu,halaf mi napenda vitu vya kunukia hivi ,,hebu nishaurini jamani haya mafuta hiyo picha mwenye kuyaelewa aniambie au mi niyapikie tu[emoji23][emoji23]
 
Extra virgin olive oil penetrates deep into the skin on yourface, providing needed moisture as well as a shield to protect your skin, keeping it smooth, according to the Olive OilSource website. Olive oil's antioxidants--vitamins A and E--can help repair skin damage from sun exposure, cigarette smoke and pollutants.

Benefits of Using Extra Virgin Olive Oil on the Face
 
Andika basi kwa kiswahili sikusoma mie
 
Unaweza kutumia kwa yote ila nijuavyo wengi hutumia kupikia.

 
Hakikisha umelipia tangazo mzee
 
Lakini ni ya kupikia pia
Haya ni mafuta ya kupikia, yana virutubisho vingi vizuri na natural, kwa sababu hiyo, yanafaa kutumika hata usoni kutunza afya ya ngozi, kwa mujibu wa hiyo link.
 
Haya ni mafuta ya kupikia, yana virutubisho vingi vizuri na natural, kwa sababu hiyo, yanafaa kutumika hata usoni kutunza afya ya ngozi, kwa mujibu wa hiyo link.
Asante
 
Dada,
Hayo ni mafuta mazuri sana kwa ngozi na nywele. Ni mafuta bora kuliko mafuta ya aina yoyote unayoyajua chini ya jua kwa ajili ya kuitengeneza ngozi na nywele na ukawa na ngozi inayovutia daima na kila mtu akabaki kuishangaa ngozi yako ilivyo nzuri. Kuhusu kunukia hayo mafuta hayana harufu mbaya, kwahiyo wewe baada ya kupaka hayo mafuta unaweza ukajipulizia perfume ili unukie kama unataka kunukia.
Pia hayo mafuta unaweza ukapikia ni mazuri pia kwa kupikia.
Ila watu wengi wenye ufahamu juu ya mafuta za mizeituni wanatumia kujipaka kwa kupenda kuwa na ngozi Bora na nzuri isiyo na makovu wala chunusi au mabaka mabaka.
Ni mafuta ghari sana kutokana na ubora wake, na kwakuwa ni mafuta ya mmea halisi mzeituni.
Mimi nakushauri penda kutumia mafuta hayo utakuwa mzuri zaidi wa ngozi na mengineyo, hachana na mafuta yote uliyokuwa unayatumia hata lotion.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…