Haya tena makubwa Msaada!

madame, yashatokea hakuna jinsi... haikuwa riziki yako.....

je una feelings kwake?
je ana feelings kwako?

kama hakuna mwenye hisia na mwenzie unachoweza kufanya sasa ni kuweka mipaka na shemeji yako mtarajiwa

kaeni chini mzungumzie hilo, futeni historia, sahauni....mheshimiane zaidi ya mtu na kaka yake

then mdogo wako ana ex wako wafunge ndoa yao...kumbuka wewe una ndoa yako na maisha yako na kama ulivyosema unahisi nduguyo kanasa....

mpe mdogo wako baraka zako, waache wafurahie mapenzi yao...yaliyopit yamepita
 
cha muhimu mwambie ukweli mdogo wake ili tu ajue kuwa alikuwa x wako basi then waendelee na maisha yao
 

Yawezekana katika hali ya kukutafuka hakukupata akampat mtu anaye fanafa na wewe na ni mdogo wako sasa shukuru mungu kwani ahadi ya kuoa kwenu imetimia na furahia kuwa mdogo wako kapata mtu unae mjua. Ndoa yao itakuwa nzuri kabisa hii hali iko mahali pengi sana wali isikuumize tena nawe utapata chombo safi katika maisha yako.

 


Ushauri wa watu numeusoma ila naona tumemsahau na mume wako je akijua itajuwaje?
mumeo ataelewa au ndio hutakaa uende kwa mdogo wako kuhofia ndoa yake.
mmmm huyo mvulana alivutiwa sana na kwenu au na mdogo wako alikuwa akimfaham mda mrefu akasema nimemkosa dada lazima nimpate mdogo wake????
Ila ujue ukimwambia mdogo wako ujue kabisa na mumeo atajua na ndugu wa mume then mtaonekana kituko wewe na shemeji yako wengine watahisi yule kaka kapanga ili awe anamla mtu na dada yake. pole sana ila fikiria sana kabla ya kuamua lolote.
 
@condorezaraisi keep that secret
Mwache mdogo wako na maisha yake maana tayari ana ujauzito wake
Na wala usijaribu hata siku moja kumtakia huyo X wako kukumbushia mambo yenu
Wala usiwe na feeling zozote na huyo X wako
 

watu mnaona mbali kweli kweli
 
Kiukweli hakuna mwenye kosa kati yenu maana nyote mlishachukua hatua moja mbele chakufanya we mpe baraka zako mdogo wako maana maji yameshamwagika na hayazoleki, kama ulivyoxema tayari kimeshakatikia nyie watu wazma kaeni na myaweke xawa ikibidi kama bado jinamiz la kupendana linawaxumbua maana mwaweza do worse things, bt mkikaa na kuyaongea kwa kuyaweka xawa hakuna baya hapo,, all in all iwe issue ya wewe na x wako au wewe, x wako na dogo pekee na cvinginevyo maana dunia hii mnh.
 
rahaa utamuu
 

Kaunga hapa ndipo ninapokupendea, huwa unatoa ushauri wa msingi sana! Na hasa hapo penye sentensi ya mwisho ni muhimu sana kuzingatia. Mara nyingi utani kwa watu waliokuwa wapenzi zamani au wanatamaniana huwasababishia kuangukia kwenye uzinzi. Ni vyema kukubali matokeo na kuondoa utani na huyo shemeji/X bf wake!
 
Kaunga nimeukubai ushauri wako
Ni kweli kabisa siri nyingine ni bora zikaendelea kuwa siri kuliko kuzitoa
Maana kuzitoa waweza haribu kila kitu
 
Last edited by a moderator:
Nawashukuru sana kwa ushauri ambao mpaka sasa mnaendelea kunipa
 
Kaunga asante sana kwa ushauri wako naona Condoreza atajua lipi jema na baya sasa
 
Last edited by a moderator:

Thanks, you are also one of my favorite pia. Unajua nini, sijui ila nina kahunch kuwa Condolezza kama vile anakakuumia fulani; akimchekea chekea tu Ex/shem wake wataharibu na kuumiza mdogo wake.

I wish wangekuwa karibu as sister jinsi wanavyopaswa kuwa; kusingekuwa na kitu kama hiki kama wangeambizana maboyfriends zao kabla. Anyway furaha na amani ya mdogo wake Condo iko mikononi mwao.
 
Kaunga asante sana kwa ushauri wako naona Condoreza atajua lipi jema na baya sasa

I hope so FirstLady1.
Kuna mtu ameshauri amwambie mumewe, maybe sawa lakini aangalie jinsi mumewe anavyoweza handle ukweli kama huo. Kama ni one of those unsecured men bora akae kimya; maana naye anaweza asiwe na amani kiasi kwamba sentensi yoyote itakayo mtaja huyo shemeji yake mpya itatafakuriwa mpaka basi. Na kama ni hawa wanaume wa siku hizi, hakawii kumwambia mdogo wake Condo na wao kuamua kufanya kweli.
 
Last edited by a moderator:
Nawashukuru sana kwa ushauri ambao mpaka sasa mnaendelea kunipa

Iweke siri usiseme kitu sawa mdogo wangu? Huna kosa, mdogo wako hana kosa
Na x wako hana kosa. Wape support kama kawa kwen wedding yao. Thank u
 
Mimi naamini kuwa wadada tuna power kubwa sana ya kukataa kitu, hasa katika relationship. kama mdada hataki kuendelea na relationship, itakufa. tumia usichana wako, hata huyo kaka aje ki-design gani sema hapana kwa sake ya mdogo wako.
kwa maana hiyo, jitahidi mdogo wako asijue yaliyopita kwani yanaweza kuwaweka sehemu ngumu wote watatu.
Ila hapa tahadhali, kama huyo kaka bado ana chembe za feelings kwako, anaweza kuku-blackmail kuwa umpe angalau siku moja, otherwise atasema.......... tafadhali usikubaliane naye, mruhusu akaseme, na ninakuhakikishia hatasema
 
Unajihofia kumtamani shemejio?
Yaani mtoto wa kike unawasiwasi na uwezo wako wa kutunza siri? Mmh, tunahitaji unyago aisee!
Sina feelings zozote ila nishado na X na nilikuwa na uhusiano wa kishule shule kama 2 years
Nawaza hapa can i keep secret ? upande mwingine naona kama ni dhambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…