Haya tena Wana J.F Picha yangu ya harusi hiyo mnasemaje?

Hizi picha hapa JF zinajirudia kweli inabidi Mods waanzishe folder ambako mtu anaweza akachek kabla hajafanya 'plagiarism' hapa
 
Hii picha nakumbuka kama ilishakuwepo hapa,au?
 
nimeipeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeenda
 
Napata impression kuwa picha hii imewekwa ili iwe kichekesho kutokana na namna ambavyo macho ya binadamu na ubongo ulivyokuwa conditioned kutafsiri sura nzuri na mbaya. Concern yangu ni kuwa kuna haki gani kubeza sura ya mtu katika muktadha huu hasa ikiwa (na ndivyo ilivyo) mwekaji wa picha hii si aliye katika picha?
 
Umegunduaje kama hiyo picha sio ya kwangu?
 
Hizi picha hapa JF zinajirudia kweli inabidi Mods waanzishe folder ambako mtu anaweza akachek kabla hajafanya 'plagiarism' hapa

we hutaki tucheke, acha unoko.
 
kumbe we mdinka wa sudani ya kusini!!!
 
hao jamaa sura zao zinavotumika mtandaoni wangekuwa na copyright saa hizi wangekua juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…