Haya wale Wayukrein wa Buza njoo kuna jambo huku!!

Haya wale Wayukrein wa Buza njoo kuna jambo huku!!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Urusi imeanza kazi ya kuyagawa Maeneo manne ya Ukraine inayokaliwa na Urusi yameanza kufanya kura za maoni, ambazo zimeshutumiwa kuwa haramu na Kyiv na zinaonekana kufungua njia kwa Moscow kunyakua rasmi baadhi ya asilimia 15 ya ardhi ya Ukraine.
Upigaji kura katika Luhansk na Donetsk, zinazojiita "Jamhuri Uuru" zinazodhibitiwa na watu wanaotaka kujitenga wanaoungwa mkono na Moscow tangu 2014, na pia katika mikoa ya kusini ya Kherson na Zaporizhia itaendelea hadi Septemba 27.

Mnasema kuwa Ukraine imeyakomnboa maeneo ya Luhansk na Donetsk mje hapa mtupe kinachoendelea upande wa Volodymyr Zelenskyy Huku tunapiga kura na kutengeneza Jamuhuri na bado tunakuja japo mpo wengi.

Chanzo Hiki hapa
 
Urusi imeanza kazi ya kuyagawa Maeneo manne ya Ukraine inayokaliwa na Urusi yameanza kufanya kura za maoni, ambazo zimeshutumiwa kuwa haramu na Kyiv na zinaonekana kufungua njia kwa Moscow kunyakua rasmi baadhi ya asilimia 15 ya ardhi ya Ukraine.
Upigaji kura katika Luhansk na Donetsk, zinazojiita "Jamhuri Uuru" zinazodhibitiwa na watu wanaotaka kujitenga wanaoungwa mkono na Moscow tangu 2014, na pia katika mikoa ya kusini ya Kherson na Zaporizhia itaendelea hadi Septemba 27.

Mnasema kuwa Ukraine imeyakomnboa maeneo ya Luhansk na Donetsk mje hapa mtupe kinachoendelea upande wa Volodymyr Zelenskyy Huku tunapiga kura na kutengeneza Jamuhuri na bado tunakuja japo mpo wengi.

Chanzo Hiki hapa
Kila siku anayagawa
 
Russia is uncontrollable state in military control, has been done the same thing in every battle and won it. US and NATO is like bush dog baking feared an enemy and hidden the nails.
Rasi Simba anahitajika huku.
 
Russia is uncontrollable state in military control, has been done the same thing in every battle and won it. US and NATO is like bush dog baking feared an enemy and hidden the nails.

Rudi darasani hata kwa Ras Inno ukajifunze kiingereza upya! Shame on you !
 
Urusi imeanza kazi ya kuyagawa Maeneo manne ya Ukraine inayokaliwa na Urusi yameanza kufanya kura za maoni, ambazo zimeshutumiwa kuwa haramu na Kyiv na zinaonekana kufungua njia kwa Moscow kunyakua rasmi baadhi ya asilimia 15 ya ardhi ya Ukraine.
Upigaji kura katika Luhansk na Donetsk, zinazojiita "Jamhuri Uuru" zinazodhibitiwa na watu wanaotaka kujitenga wanaoungwa mkono na Moscow tangu 2014, na pia katika mikoa ya kusini ya Kherson na Zaporizhia itaendelea hadi Septemba 27.

Mnasema kuwa Ukraine imeyakomnboa maeneo ya Luhansk na Donetsk mje hapa mtupe kinachoendelea upande wa Volodymyr Zelenskyy Huku tunapiga kura na kutengeneza Jamuhuri na bado tunakuja japo mpo wengi.

Chanzo Hiki hapa
Wayukreini wa kwa mtogole 😂😂
 
Wavaa kobazi na kanzu zenu......na huko Iraq napo mnapingwa kazi mnayo Warusi wa Tandale
 
Kitachotokea yatakua part ya nchi ya urusi na ukiyavamia maana yake umeivamia urusi kitu ambacho hata NATO wanaogopa kufanya leave alone kujaribu.
Nan wa kumwogopa Russia kwa ile performance?
Russia Putin alisema atakayeingilia Vita will be playing with fire...mpaka sasa mbona tumeona uingiliwaji wa wazi wazi na hamna kilichofanyika?
 
Russia is uncontrollable state in military control, has been done the same thing in every battle and won it. US and NATO is like bush dog baking feared an enemy and hidden the nails.
Kwa maneno sawa, kwa vitendo big no!
 
Nan wa kumwogopa Russia kwa ile performance?
Russia Putin alisema atakayeingilia Vita will be playing with fire...mpaka sasa mbona tumeona uingiliwaji wa wazi wazi na hamna kilichofanyika?
Alitangaza Crimea kuwa ni sehemu ya Russia na atakayeigusa ameigusa Russia, na mpaka sasa Crimea watu wanajipigia tu.
 
 
Mnasema kuwa Ukraine imeyakomnboa maeneo ya Luhansk na Donetsk mje hapa mtupe kinachoendelea upande wa Volodymyr Zelenskyy Huku tunapiga kura na kutengeneza Jamuhuri na bado tunakuja japo mpo wengi.
Siyo muda mrefu Kagame atatangaza majimbo ya DRC yanapiga kura ya maoni ya kujitenga na nchi yao
 
Back
Top Bottom