W wakimataifa JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 942 Reaction score 168 Mar 14, 2015 #1 naomba kuwauliza wanayanga mchezo wenu na platnam mtauonesha live kwenye tv au mnaficha upuuzi wenu.
Msaranga JF-Expert Member Joined Feb 10, 2009 Posts 956 Reaction score 227 Mar 14, 2015 #2 Hope wataonesha mbona ile ya kwanza walionesha
Sibonike JF-Expert Member Joined Dec 23, 2010 Posts 17,296 Reaction score 18,027 Mar 14, 2015 #3 wakimataifa said: naomba kuwauliza wanayanga mchezo wenu na platnam mtauonesha live kwenye tv au mnaficha upuuzi wenu. Click to expand... Non of your business
wakimataifa said: naomba kuwauliza wanayanga mchezo wenu na platnam mtauonesha live kwenye tv au mnaficha upuuzi wenu. Click to expand... Non of your business
kwich kwich JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 366 Reaction score 105 Mar 14, 2015 #4 Ukitaka kuona nenda uwanjani mkuu ni bora zaidi
samsun JF-Expert Member Joined Feb 9, 2014 Posts 7,386 Reaction score 5,965 Mar 15, 2015 #5 wakimataifa said: naomba kuwauliza wanayanga mchezo wenu na platnam mtauonesha live kwenye tv au mnaficha upuuzi wenu. Click to expand... Nyinyi mkakati uliobaki kwenu ule wa kubaki kwenye ligi baada ya ule wa kwanza wa kuifunga Yanga kwenu kombe si lazima wala nafasi ya 2 kuwakilisha inchi Yanga inamalengo ya soka kiujumla wake kila mechi kwetu ni muhimu kupoteza ni sehemu ya mchezo
wakimataifa said: naomba kuwauliza wanayanga mchezo wenu na platnam mtauonesha live kwenye tv au mnaficha upuuzi wenu. Click to expand... Nyinyi mkakati uliobaki kwenu ule wa kubaki kwenye ligi baada ya ule wa kwanza wa kuifunga Yanga kwenu kombe si lazima wala nafasi ya 2 kuwakilisha inchi Yanga inamalengo ya soka kiujumla wake kila mechi kwetu ni muhimu kupoteza ni sehemu ya mchezo