Haya weekend ndio hiooo imeanza, tupe location

Haya weekend ndio hiooo imeanza, tupe location

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Jumapili ndio narudi zangu Dar nliwamisi sana washakaji wangu wa Dar, tukutane mnadani Kibamba Chama.

Kwa sasa bado nipo Dodoma hapa Rainbow soon ntakua Bambalaga tupe location

Upo wapi saivi
Unafanya nini
Tutamanishe vibe la hapo bila kusaha kapicha
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Kwasisi wengine "free time from work" kama weekend na sikukuu, huwa tunatumia KUTENGENEZEA KESHO YETU itakayosababisha TUACHANE NA AJIRA.

INVESTMENT is BETTER than BUSINESS...!!!

IMG_20210702_125728_218.jpg


#YNWA
 
Shambani kesho asubuhi sa natoka job sa10 naenda shamba kufanya nini?
Nimeingia Shamba leo direct from job..

Nitatoka huku jumatatu asubuhi (alfajiri sanaa) direct to the Job..!!

Siku kama hizi kazini nakua na lasket yaani ile tisa na nusu tuu juu ya alama basi punch dole halafu kitu ndukiii shambani.

Hapo kwenye lasket Nina gumboots + nguo za Shamba, mixture mkate na soda kama emergency.

Let's Invest for our future.

INVESTMENT IS BETTER THAN BUSINESS.

#YNWA
 
Nimeingia Shamba leo direct from job..

Nitatoka huku jumatatu asubuhi (alfajiri sanaa) direct to the Job..!!

Siku kama hizi kazini nakua na lasket yaani ile tisa na nusu tuu juu ya alama basi punch dole halafu kitu ndukiii shambani.

Hapo kwenye lasket Nina gumboots + nguo za Shamba, mixture mkate na soda kama emergency.

Let's Invest for our future.

INVESTMENT IS BETTER THAN BUSINESS.

#YNWA
Safi sana mkuu pambana maisha hayana likizo
 
Jumapili ndio narudi zangu Dar nliwamisi sana washakaji wangu wa Dar, tukutane mnadani Kibamba Chama.

Kwa sasa bado nipo Dodoma hapa Rainbow soon ntakua Bambalaga tupe location

Upo wapi saivi
Unafanya nini
Tutamanishe vibe la hapo bila kusaha kapicha
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]

Njoo 5-N tukitoka tunaenda juliana !! Bia mziki kama wotee
 
Jumapili ndio narudi zangu Dar nliwamisi sana washakaji wangu wa Dar, tukutane mnadani Kibamba Chama.

Kwa sasa bado nipo Dodoma hapa Rainbow soon ntakua Bambalaga tupe location

Upo wapi saivi
Unafanya nini
Tutamanishe vibe la hapo bila kusaha kapicha
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Tukutane kesho Asubuhi Msalato.
 
Back
Top Bottom