Elections 2010 Haya ya Dk Slaa kuchukua mikoba ni kweli?

Dr, hizi habari zimetushtua sana vijana wako na wafuasi wazuri wa CDM..tafadhali tunaomba maelezo kuhusu hii habari..
 
Hakuna Sheria ya kumfukuza mbunge, ni kusubiri mpaka kipindi chake kiishe
Shibuda atafukuzwa uanachama. Kama mtaamua kubadilisha sheria juu kwa juu abaki kuwa mbunge basi atakuwa mbunge wa chama chako ila siyo wa chadema!
 
Dr, hizi habari zimetushtua sana vijana wako na wafuasi wazuri wa CDM..tafadhali tunaomba maelezo kuhusu hii habari..
Hata mimi siungi mkono kugombea ubunge rais wangu. Kwenye majimbo aweke vijana hodari wa kukiendeleza chama. Na sisi vijana tuwe tayari kumuunga mkono pamoja na chama ili kusudi asione pengo lolote au sehemu yeyote inalegalega, tuungane kama nyuki kwenye mzinga. Lengo ni kupata viongozi wa kulijenga taifa letu na kuthamini maisha ya watanzania kama nchi nyingine.
 

Atasimamia kuwa anayotofautiana na Chama chake ni yale ya msingi aliyoagizwa na wapiga kura wake ambayo ni kinyume cha matakwa ya chama chake.

Vile vile lazima walete ushahidi tosha usio na shaka wa kumfukuza uanachama mbao utaweza kukubalika na mahakama katika kumwondoa UBUNGE. Elewa kuna issue mbili hapo. Uanachama na ubunge.
ndio maana nikakupa refer kesi ya Naila Jidawi VS CUF
 
Siungi mkono hata kidogo Dr Slaa kugombea ubunge endapo Shibuda atafukuzwa uanachama, kwani hakuna wengine huko jimboni wanaokubalika walioko ndani ya CDM. Yeye afanya kazi ya kujenga chama.
 
source: jambo leo, owner riz one kikwete, unategemea nini? subira yavuta kheri.
 

CDM at cross roads.
Hivi? Ni kweli Shibuda ana mikoba ya kuchukuliwa na Dr ? Yaani mdogo kiwadhifa ana mikoba ya kumtishia katibu mkuu wa CDM.
Na hapa is it not differences in political outlook katika CDM ndio inapelekea mgogoro huu.
Na kuna juhudi zozote kutafuta common ground katika tofauti hizi au ndo "ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI"
 
Hakuna Sheria ya kumfukuza mbunge, ni kusubiri mpaka kipindi chake kiishe

No! No! Hafukuzwi ubunge as such, ila anafukuzwa uanachama na immediatelly anakosa sifa ya kuwa mbunge kwa mujibu wa katiba ya JMTZ. Hivyo ndivyo wanafanya ambayo tunasema amefukuzwa ubunge indirrectly!

Binafsi sioni shida hata silaa akigombea ubunge, we need to be realistic, kama tulimshangilia Dr na kumuamini katika level ya urais kuwa angekuwa mkombozi wa taifa hili (dhamana kubwa) hiyo ndogo ni unquestionable! I don't see the logic kutokumwamini jimboni ukamwamini kitaifa!!!!!!!


Otherwise, I would comment that Shibuda hafai na hamech na magwanda! Inaonekana bado anatamani gamba si gwanda! aondoke, let him gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!
 

Sasa mfano akimwaga kwenye uwanachama atakuwa mbunge wa chama gani? nadhani hadhi yake ya ubunge itaondoka na uchaguzi utarudiwa tena!!coz hamna sheria ya mgombea binafsi till now...au hiyo kesi ya Jidawi ilikuwaje??
 
source: jambo leo, owner riz one kikwete, unategemea nini? subira yavuta kheri.

Hivi huyu kijana zile siku 7 alizompa Dr kuhusu kumvunjia heshima kwa kumsemea uongo hazijaisha?
Tusubiri
 

Kwa nini mnaleta habari za Jamba leo hapa? Fit for CCM consumption only.
 


Sababu wanazo nyinginyingi tu, sema umakini wa hali ya juu unatakiwa!! Huyu bwana ni kimeo kwa watu makini

Shibuda siyo kimeo kama mnavyomtangaza nyie, hana shida na hana madhara yoyote ndio maana tunawalaum CCM kwa kuwafanya wabunge wake kuwa kasuku kwa kila jambo ambalo serikali inaleta bungeni! kama mtindo wa wabunge kuwa kasuku wa chama ni mbaya kwa CCM na iwe mbaya pia kwa CDM lasivyo tusilaum tena tukiona wabunge wa CCM wakiungana kutete jambo la chama chao hata kama ni zuri au baya ili mradi ni jambo la chama.

Huyu ni mtu anayepinga na kusema adharani, na anatamka kweupe wa ngapi ndani ya CDM wanakaa vikao vya siri kuhujumu chama na bado ni viongozi wakubwa ndani ya chama? huu utakuwa Upuuzi mwingine.

Pia mfanye tafiti mi najuwa kuwa Bariadi na Maswa ni maeneo ya ajabu sana majimbo yao; Chenge, Cheyo na Shibuda hayo majimbo wananchni wamekalili hayo majina tu!
 
Dr Slaa abaki HQ aendelee kupiga dili za Mhe Chairman Aikaeli .... kama ilivyokuwa kwa mifuso mitumba.
 
Hakuna Sheria ya kumfukuza mbunge, ni kusubiri mpaka kipindi chake kiishe
Mbunge yuko pale kwa mgongo wa chama chake, akivuliwa uanachama automaticaly anapoteza ubunge...hilo liko wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…