Haya ya posho ni misingi ya CCM na viongozi na wanachama wao wasio na uzalendo

Haya ya posho ni misingi ya CCM na viongozi na wanachama wao wasio na uzalendo

Johne

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2013
Posts
328
Reaction score
78
Inasikitisha viongozi wakuu wa CCM kushindwa kutoa tamko kali juu ya madai ya nyongeza ya posho. Huu ni muendelezo wa viongozi na wanachama kutokuwa wazalendo hizo kutaka kujinufaisha wao binafsi kama ilivyozoeleka hadi imefikia kutamka waziwazi tena kutowaogopa hata viongozi wakuu kwa kuwa nao wana sifa hizo hizo na ndo mana wapo kimya. Wakae wakijua haya ndo matunda waliotutengenezea kupitia chama chao na uongozi wao.
 
mkuu, mbona unatema pumba sana? Yaelekea hapo ulipo una hangingover za gongo
 
pia utambue kuwa bunge la katiba si la kichama. Na ndo maana hata CHADEMA wamekaaa kimya katika hili
 
Inasikitisha viongozi wakuu wa CCM kushindwa kutoa tamko kali juu ya madai ya nyongeza ya posho. Huu ni muendelezo wa viongozi na wanachama kutokuwa wazalendo hizo kutaka kujinufaisha wao binafsi kama ilivyozoeleka hadi imefikia kutamka waziwazi tena kutowaogopa hata viongozi wakuu kwa kuwa nao wana sifa hizo hizo na ndo mana wapo kimya. Wakae wakijua haya ndo matunda waliotutengenezea kupitia chama chao na uongozi wao.

Mkuu kwani kuna kiongozi yeyote yule wa chama cha upinzani either ni Chadema, CUF, NCCR au chama kingine aliyekanusha au kuzumgumzia kuhusu kutokuchukua posho?? Ni wazi kuwa ukimya wao unadhihirisha wao pia wanataka posho hizo.
 
pia utambue kuwa bunge la katiba si la kichama. Na ndo maana hata CHADEMA wamekaaa kimya katika hili

Chadema huwa inanyamaza kwanza ili ipate kuwakamata ccm kwa makosa yao. Na tayari wameanza kusema posho zikatwe kodi. Vipi kuhusu CCM?
Si hilo tu chadema walishasema huu ni mkakati wa ccm kuwatoa kupoteza muda na kuwachelewesha wajumbe kujadili hoja za msingi.
 
mkuu, mbona unatema pumba sana? Yaelekea hapo ulipo una hangingover za gongo
Wewe itakuwa ndiyo mjumbe unaedai posho iongezeke wakati kuna watanzania wanapoteza uhai kwa kukosekana kwa madawa mahospitalini.
 
Mimi in mwanaccm posho za hawa wajumbe sikubaliani nazo badala ya kujadili mustakabali wa taifa wametanguliza njaa zao
 
Mkuu kwani kuna kiongozi yeyote yule wa chama cha upinzani either ni Chadema, CUF, NCCR au chama kingine aliyekanusha au kuzumgumzia kuhusu kutokuchukua posho?? Ni wazi kuwa ukimya wao unadhihirisha wao pia wanataka posho hizo.
hoja sio posho. hoja ni nyongeza ya posho. ndio matatizo ya div 5. soma na uelewe ndipo ujibu hoja.
 
Wewe itakuwa ndiyo mjumbe unaedai posho iongezeke wakati kuna watanzania wanapoteza uhai kwa kukosekana kwa madawa mahospitalini.

Muulize amesikia Dr slaa alivyosema iringa? Au na lile ni tamko la magamba? Posho ime asisiwa na jk mwenyekiti wao
 
hoja sio posho. hoja ni nyongeza ya posho. ndio matatizo ya div 5. soma na uelewe ndipo ujibu hoja.

sawa me div 5. But naomba unieleweshe ili nitoke huko kwenye division 5 ni kiongozi gani wa chama chochote kile cha upinzani aliyekanusha au kuongelea au kukemea kuhusu nyongeza ya posho??
 
Back
Top Bottom