Haya Yakitokea Chadema Mnarusha Taulo Ulingoni

Haya Yakitokea Chadema Mnarusha Taulo Ulingoni

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Screenshot_20241214_181755_Google.jpg

Hakika wanachadema mpo kwenye wakati mgumu kuliko wakati mwingine wowote ambao mmepitia kama Chama

Kuna viongozi wengi na wanachama wenu wengi wameondoka kutokana na sababu moja au nyingine lkn naweza sema halikuwashtusha kama ambavyo litawashtusha hili ambalo litatokea sasa hivi

Ni wazi kabisa Mwenyekiti wenu wa sasa mh Mbowe ni kipenzi chenu kikubwa na mh Tundu Lisu Makamu Mwenyekiti nae ni kipenzi chenu pia,this time vipenzi vyenu vimeamua kama noma na iwe noma

Naamini kabisa kwa namna yoyote ile itakayo fanyika kumuondoa Lissu katika mchakato wa kugombea Uenyekiti ima iwe halali au kibabe utaleta athari kubwa sana katika chama chenu,na ndio hapo tutashuhudia taulo likitupwa ulingoni

Siamini hali hiyo ikitokea kama mh Lissu atabakia kuwa mwanachama hai wa Chadema,maana akibakia itakuwa unafiki tu ila moyoni mwake atakuwa hana mori na moyo wa kubakia hapo

Inafahamika kwamba Lissu amejizolea umaarufu mkubwa sana kwa ujasiri wake na upambanaji wake wa kudai haki na usawa hapa nchini kwetu,binafsi ingawa ni mwanachama au mshabiki wa Ccm lakini namkubali huyo mwamba sana

Endapo ataondoka Chadema kwa figisu ya aina yoyote ile basi mjue Chadema mtakuwa mmerusha taulo ulingoni katika siasa za vyama vingi na huenda mkawa kama vingine ambavyo vilisharusha taulo ulingoni kitambo tu kama Nccr Mageuzi na vinginevyo

Kwa namna hutuba ya Lissu nilivyo isikia hakika inaonyesha kabisa kuna haja ya kufanya mabadiliko makubwa ya kiuongozi ndani ya Chadema,hapo inahitaji hekima na ukomavu wa kisiasa wa mh Mbowe asema inatosha sasa na kumpa kijiti mh Lissu

Ukiweka uchawa pembeni kwa kila mwanachama wa Chadema mwenye akili huru na uelewa wa kutosha ataona kabisa anayefaa sasa kuwa kamanda mkuu ni mh Lissu

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Asanteni kwa kunisikiliza

Ni hayo tu!
 
View attachment 3176667
Hakika wanachadema mpo kwenye wakati mgumu kuliko wakati mwingine wowote ambao mmepitia kama Chama

Kuna viongozi wengi na wanachama wenu wengi wameondoka kutokana na sababu moja au nyingine lkn naweza sema halikuwashtusha kama ambavyo litawashtusha hili ambalo litatokea sasa hivi

Ni wazi kabisa Mwenyekiti wenu wa sasa mh Mbowe ni kipenzi chenu kikubwa na mh Tundu Lisu Makamu Mwenyekiti nae ni kipenzi chenu pia,this time vipenzi vyenu vimeamua kama noma na iwe noma

Naamini kabisa kwa namna yoyote ile itakayo fanyika kumuondoa Lissu katika mchakato wa kugombea Uenyekiti ima iwe halali au kibabe utaleta athari kubwa sana katika chama chenu,na ndio hapo tutashuhudia taulo likitupwa ulingoni

Siamini hali hiyo ikitokea kama mh Lissu atabakia kuwa mwanachama hai wa Chadema,maana akibakia itakuwa unafiki tu ila moyoni mwake atakuwa hana mori na moyo wa kubakia hapo

Inafahamika kwamba Lissu amejizolea umaarufu mkubwa sana kwa ujasiri wake na upambanaji wake wa kudai haki na usawa hapa nchini kwetu,binafsi ingawa ni mwanachama au mshabiki wa Ccm lakini namkubali huyo mwamba sana

Endapo ataondoka Chadema kwa figisu ya aina yoyote ile basi mjue Chadema mtakuwa mmerusha taulo ulingoni katika siasa za vyama vingi na huenda mkawa kama vingine ambavyo vilisharusha taulo ulingoni kitambo tu kama Nccr Mageuzi na vinginevyo

Kwa namna hutuba ya Lissu nilivyo isikia hakika inaonyesha kabisa kuna haja ya kufanya mabadiliko makubwa ya kiuongozi ndani ya Chadema,hapo inahitaji hekima na ukomavu wa kisiasa wa mh Mbowe asema inatosha sasa na kumpa kijiti mh Lissu

Ukiweka uchawa pembeni kwa kila mwanachama wa Chadema mwenye akili huru na uelewa wa kutosha ataona kabisa anayefaa sasa kuwa kamanda mkuu ni mh Lissu

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Asanteni kwa kunisikiliza

Ni hayo tu!
Uchanguzi ni lini?
 
Mimi sioni kama kuna shida sana as long as mchakato wote wa uchaguzi utakuwa wazi mwisho wa picha kura zikaamua kihalali basi kila mmoja ataridhika na matokeo lakini kama mapichapicha yatatokea hapo lazima wasuaguane .Hapa kuua mzizi wa fitina though sijui huwa wanapiga vipi kura zao ,wote wapo mkutano mkuu mbele kuna Sanduku wanapiga na zinahesabiwa palepale .
 
Lissu hajafikia hata nusu ya umaarufu wa dk Slaa.Anadanganywa,na amedanganyika.
Kitu usichokijua kwa sasa Imani ya wanachadema na wapinzeni wa kweli ktk nchi hii ipo kwa lissu. Mbowe akijidanganya kumfanyia lissu figisu ili aendelee kusalia madarakani ajue kbisaa ndo kakinyonga chama mazimaaa, bila shaka mbowe hatakua tayari kutawanya nyumba aliyoijenga kwa nguvu kubwa.
 
Kitu usichokijua kwa sasa Imani ya wanachadema na wapinzeni wa kweli ktk nchi hii ipo kwa lissu. Mbowe akijidanganya kumfanyia lissu figisu ili aendelee kusalia madarakani ajue kbisaa ndo kakinyonga chama mazimaaa, bila shaka mbowe hatakua tayari kutawanya nyumba aliyoijenga kwa nguvu kubwa.
Nadhani wote wanaaminika - chair na msaidizi wake.

Maoni mengi ya wanachama wa CDM nadhani wangependa kumwona TAL akiwa nyapara wa mwenyekiti - yaani, afisa mitikasi - huku mwenyekiti akibaki juu kusawazisha mambo na kuweka dira ya chama.

Wakichuana, mwenyekiti bado atashinda vizuri sana hata bila figisu.
 
Lissu hajafikia hata nusu ya umaarufu wa dk Slaa.Anadanganywa,na amedanganyika.
Naomba nikukumbushe tu kwamba Dr. Slaa aliiacha Chadema ikiwa na Majimbo 25, Lowasa akaiacha Chadema ikiwa na Majimbo 46 sasa Chadema ya Mbowe ina Jimbo moja.
Kwa hali hii Chadema imekufa au haijafa!
 
Naomba nikukumbushe tu kwamba Dr. Slaa aliiacha Chadema ikiwa na Majimbo 25, Lowasa akaiacha Chadema ikiwa na Majimbo 46 sasa Chadema ya Mbowe ina Jimbo moja.
Kwa hali hii Chadema imekufa au haijafa!
Hakika umetoa hoja nzito sana,na ni kipimo tosha kwa mwenyekiti wa sasa,kwamba hana tena maajabu
 
View attachment 3176667
Hakika wanachadema mpo kwenye wakati mgumu kuliko wakati mwingine wowote ambao mmepitia kama Chama

Kuna viongozi wengi na wanachama wenu wengi wameondoka kutokana na sababu moja au nyingine lkn naweza sema halikuwashtusha kama ambavyo litawashtusha hili ambalo litatokea sasa hivi

Ni wazi kabisa Mwenyekiti wenu wa sasa mh Mbowe ni kipenzi chenu kikubwa na mh Tundu Lisu Makamu Mwenyekiti nae ni kipenzi chenu pia,this time vipenzi vyenu vimeamua kama noma na iwe noma

Naamini kabisa kwa namna yoyote ile itakayo fanyika kumuondoa Lissu katika mchakato wa kugombea Uenyekiti ima iwe halali au kibabe utaleta athari kubwa sana katika chama chenu,na ndio hapo tutashuhudia taulo likitupwa ulingoni

Siamini hali hiyo ikitokea kama mh Lissu atabakia kuwa mwanachama hai wa Chadema,maana akibakia itakuwa unafiki tu ila moyoni mwake atakuwa hana mori na moyo wa kubakia hapo

Inafahamika kwamba Lissu amejizolea umaarufu mkubwa sana kwa ujasiri wake na upambanaji wake wa kudai haki na usawa hapa nchini kwetu,binafsi ingawa ni mwanachama au mshabiki wa Ccm lakini namkubali huyo mwamba sana

Endapo ataondoka Chadema kwa figisu ya aina yoyote ile basi mjue Chadema mtakuwa mmerusha taulo ulingoni katika siasa za vyama vingi na huenda mkawa kama vingine ambavyo vilisharusha taulo ulingoni kitambo tu kama Nccr Mageuzi na vinginevyo

Kwa namna hutuba ya Lissu nilivyo isikia hakika inaonyesha kabisa kuna haja ya kufanya mabadiliko makubwa ya kiuongozi ndani ya Chadema,hapo inahitaji hekima na ukomavu wa kisiasa wa mh Mbowe asema inatosha sasa na kumpa kijiti mh Lissu

Ukiweka uchawa pembeni kwa kila mwanachama wa Chadema mwenye akili huru na uelewa wa kutosha ataona kabisa anayefaa sasa kuwa kamanda mkuu ni mh Lissu

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Asanteni kwa kunisikiliza

Ni hayo tu!

n
 
View attachment 3176667
Hakika wanachadema mpo kwenye wakati mgumu kuliko wakati mwingine wowote ambao mmepitia kama Chama

Kuna viongozi wengi na wanachama wenu wengi wameondoka kutokana na sababu moja au nyingine lkn naweza sema halikuwashtusha kama ambavyo litawashtusha hili ambalo litatokea sasa hivi

Ni wazi kabisa Mwenyekiti wenu wa sasa mh Mbowe ni kipenzi chenu kikubwa na mh Tundu Lisu Makamu Mwenyekiti nae ni kipenzi chenu pia,this time vipenzi vyenu vimeamua kama noma na iwe noma

Naamini kabisa kwa namna yoyote ile itakayo fanyika kumuondoa Lissu katika mchakato wa kugombea Uenyekiti ima iwe halali au kibabe utaleta athari kubwa sana katika chama chenu,na ndio hapo tutashuhudia taulo likitupwa ulingoni

Siamini hali hiyo ikitokea kama mh Lissu atabakia kuwa mwanachama hai wa Chadema,maana akibakia itakuwa unafiki tu ila moyoni mwake atakuwa hana mori na moyo wa kubakia hapo

Inafahamika kwamba Lissu amejizolea umaarufu mkubwa sana kwa ujasiri wake na upambanaji wake wa kudai haki na usawa hapa nchini kwetu,binafsi ingawa ni mwanachama au mshabiki wa Ccm lakini namkubali huyo mwamba sana

Endapo ataondoka Chadema kwa figisu ya aina yoyote ile basi mjue Chadema mtakuwa mmerusha taulo ulingoni katika siasa za vyama vingi na huenda mkawa kama vingine ambavyo vilisharusha taulo ulingoni kitambo tu kama Nccr Mageuzi na vinginevyo

Kwa namna hutuba ya Lissu nilivyo isikia hakika inaonyesha kabisa kuna haja ya kufanya mabadiliko makubwa ya kiuongozi ndani ya Chadema,hapo inahitaji hekima na ukomavu wa kisiasa wa mh Mbowe asema inatosha sasa na kumpa kijiti mh Lissu

Ukiweka uchawa pembeni kwa kila mwanachama wa Chadema mwenye akili huru na uelewa wa kutosha ataona kabisa anayefaa sasa kuwa kamanda mkuu ni mh Lissu

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Asanteni kwa kunisikiliza

Ni hayo tu!

Ni wapumbavu ,wapuuzi , vichaa, wasejhenyaji , I'll mashoga he , wajinga, mazombi, Machawa, manyumbu na matutusa ambao wanaweza wakakaa na kiongozi mmoja wa kuchaguliwa kwa miaka 20 halafu eti mtu mwenye nguvu kubwa na Elimu kubwa kuliko akitangaza nia ya kugombea anaitwa msaliti na asiyekitakia mema .

Eti akiwa rais mtaafu kwa sababu urais hauna mapito magumu !! Huu si uzuzu . Yaani uongozi wenye mapito magumu ndio mtu Nangangania madarakani? Halafu majitu yanapiga makofi kama mzuzu. Huyu Mbowe akibahatika kuwa Rais kwa Katiba hii inayompa Rais mamlaka makubwa kuliko mungu atastaafu kweli? Rais ambaye hata fungu lake la bajeti halijadiliwi!? Huyu ataachia madaraka kweli. ?
Yaani hata, je mwenyekiti tu wa chama chenye karuzuku kadogo anangagani
 
Lissu hajafikia hata nusu ya umaarufu wa dk Slaa.Anadanganywa,na amedanganyika.
Mbowe amefika ukomo wa siasa. Hamvutii yeyote kwa sasa, na hapati wafuasi wapya. Lisu anakuza idadi ya wafuasi wake kila siku.

Mbowe kachokwa kwasbb za kibinadamu tu ,za kukerahishwa na mtu aliyekaa mahala muda mrefu. Hivyo Mbowe aondoke!!
 
View attachment 3176667
Hakika wanachadema mpo kwenye wakati mgumu kuliko wakati mwingine wowote ambao mmepitia kama Chama

Kuna viongozi wengi na wanachama wenu wengi wameondoka kutokana na sababu moja au nyingine lkn naweza sema halikuwashtusha kama ambavyo litawashtusha hili ambalo litatokea sasa hivi

Ni wazi kabisa Mwenyekiti wenu wa sasa mh Mbowe ni kipenzi chenu kikubwa na mh Tundu Lisu Makamu Mwenyekiti nae ni kipenzi chenu pia,this time vipenzi vyenu vimeamua kama noma na iwe noma

Naamini kabisa kwa namna yoyote ile itakayo fanyika kumuondoa Lissu katika mchakato wa kugombea Uenyekiti ima iwe halali au kibabe utaleta athari kubwa sana katika chama chenu,na ndio hapo tutashuhudia taulo likitupwa ulingoni

Siamini hali hiyo ikitokea kama mh Lissu atabakia kuwa mwanachama hai wa Chadema,maana akibakia itakuwa unafiki tu ila moyoni mwake atakuwa hana mori na moyo wa kubakia hapo

Inafahamika kwamba Lissu amejizolea umaarufu mkubwa sana kwa ujasiri wake na upambanaji wake wa kudai haki na usawa hapa nchini kwetu,binafsi ingawa ni mwanachama au mshabiki wa Ccm lakini namkubali huyo mwamba sana

Endapo ataondoka Chadema kwa figisu ya aina yoyote ile basi mjue Chadema mtakuwa mmerusha taulo ulingoni katika siasa za vyama vingi na huenda mkawa kama vingine ambavyo vilisharusha taulo ulingoni kitambo tu kama Nccr Mageuzi na vinginevyo

Kwa namna hutuba ya Lissu nilivyo isikia hakika inaonyesha kabisa kuna haja ya kufanya mabadiliko makubwa ya kiuongozi ndani ya Chadema,hapo inahitaji hekima na ukomavu wa kisiasa wa mh Mbowe asema inatosha sasa na kumpa kijiti mh Lissu

Ukiweka uchawa pembeni kwa kila mwanachama wa Chadema mwenye akili huru na uelewa wa kutosha ataona kabisa anayefaa sasa kuwa kamanda mkuu ni mh Lissu

Mungu ibariki Afrika na Mungu ibariki Tanzania

Asanteni kwa kunisikiliza

Ni hayo tu!
Kasongo wewo, mobali Na ngai, Kasongo Mbona weweoo
 
Lisu hafai, Bora hata ungesema Mwabukusi ambaye sijui kama ni mwanachadema.

Agombee, mnampigia sana chapuo, Mbowe naye atatangaza niye hivi karibuni, ila yeye hatotangazia Mlimani City, na atagombea na Lisu, mjiandae Lisu Kushindwa.
 
Back
Top Bottom