Haya Yakitokea Chadema Mnarusha Taulo Ulingoni

Kiwango cha elimu ya mzee Mbowe hakimwezeshi kuelewa ulichoandika hapa.
 
Lisu hafai, Bora hata ungesema Mwabukusi ambaye sijui kama ni mwanachadema.

Agombee, mnampigia sana chapuo, Mbowe naye atatangaza niye hivi karibuni, ila yeye hatotangazia Mlimani City, na atagombea na Lisu, mjiandae Lisu Kushindwa.
Mangi acha kutoa mapovu,mzee Mbowe must GO
 
Lissu hajafikia hata nusu ya umaarufu wa dk Slaa.Anadanganywa,na amedanganyika.
Kwa sasa mbowe alishachokwa na wanachadema walio wengi.
Umaarufu ndani ya chama umeshuka na hawana imani naye.
Amebaki kuungwa mkono na chawa wake ambao wanahesabika.
Wengi wanaona chama kimerudi nyuma sana, kimepoteza sifa na wengi wamekatishwa tamaa na uongozi huu wa mbowe.
Nyakati zimebadilika sana, Mbowe aliyeungwa mkono na wanachadema miaka 5 iliyopita sio huyu wa sasa aliyeramba asali.
 
C
Lisu hafai, Bora hata ungesema Mwabukusi ambaye sijui kama ni mwanachadema.

Agombee, mnampigia sana chapuo, Mbowe naye atatangaza niye hivi karibuni, ila yeye hatotangazia Mlimani City, na atagombea na Lisu, mjiandae Lisu Kushindw
Chawa katika ubora wako.
Chama lazima kitolewe kwa wahuni kirudi kwa wanachama
 
Pesa inauma CHADEMA
 
Ushauri mzuri sana
 
Ushauri
 
Lissu hajafikia hata nusu ya umaarufu wa dk a

Acha kumfananisha lissu na vitu vya kijinga, lissu hawezi kuhongwa vyeo akatusaliti kamwe!.
Slaa alipewa ubalozi akatutosa.
Mbowe mwenyewe na maridhiano yake feki katusaliti ndio maana wanachama wenye mapenzi (ukiondoa U CHAWA) tunataka lissu awe mwenyekiti mpya taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…