Haya yanayonitokea sielewi

Haya yanayonitokea sielewi

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
Sijaelewa ni saikolijia au nini, imeanza kunitokea tokea wiki iliyopita..kila nikifika nyumbani kwangu tokea ofisini kuna kitu kinakuwa kama kinaingia kichwani, kinakamata kichwa na baadae kichwa kina kaza na mishipa ya shingo ina kaza pia. Pengine unahisi miguu ina chili au kuwaka moto na tumbo kuunguruma....Sijajua ni mambo gani haya, pengine inafikiwa wakati mpaka unahisi kwenda haja kubwa!!!
 
Ndugu yangu nenda kwenye vituo au onana na mtaalam ili ufanyiwe vipimo inaweza kiwa ni dalili ya ugonjwa fulan kwasababu hzo dalili zote unazozitaja zinaendana na za vidonda vya tumbo
 
Kwanini kila ukirudi nyumbani? Embu siku jaribu kupitia lodge uone kama hali utakua the same
 
Back
Top Bottom