Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
Mimi nina bosi wangu mpare ana roho mbaya sana, na tabia zote zilizotajwa hapa za anazo, ila sijajua kama ni tabia zake tu au ni kwa sababu ya upare, lakini cha kushangaza anasema kuwa hatakubali mtoto wake aoe mpare kwa sababu hapendi tabia zao. Jamani huyo anayeongea hivyo ni mpare pure
Haaa haaa,wewe anko yupo humu shauri ako.nukta
hakuna kama hiko,mimi nimeoa mkurya lakini hakuna siku ameniomba nimtwange.
We acha uongo mbona mnatwangana daily au we kutwanga ni mpaka kwa ngumi na mateke? Hivyo hivyo unavyomfanya unamtwanga.
Mimi si pendi ukabila. Ila katika kila jambo linalo ongelewa changanya na zako.
kumbuka hata katika upuuzi wa mpuuzi, mtu mwenye hekima anaweza akajifunza jambo.
Wapare ;- wabahili na wachoyo..
Wakurya na Wasukuma;- hawawaheshimu wanawake zao, mwanamke hana usemi.
Wachaga wa machame ;-wanapenda mali na pesa,. Matapel likija suala la mali au pesa..
Wasambaa/wazigua/tanga kwa ujumla:- wana mapenzi na wavumilivu (a kind heart)..
Wahaya ;- wanaume-wanajisifia sana, wanawake-hawana msimano...
Wamasai:-wanawake-wanaheshima na wanamwona mwanaume km Mungu.
Waapare kwa kichaga waapige wale walifukuzwa uchagani sababu ya uvivu na umalaya!
Wapare si wabahili wala wachoyo. Wapare ni WACHUMI, swala la uzinzi na uchawi ni la mtu binafsi na ieleweke kuwa hakuna kabila llt tz lisilo na wachawi wala wazinzi, kwa mfano zamani wachaga walikua wanasifika sana kwa kutokua na tabia za kishirina na umalaya lakini sasa baadhi WANATOA NDUGU ZAO KAFARA ILI WAPATE UTAJIRI, na baadhi ya wadada siku hz wapo juu kwa uzinzi.
st. ivuga atakuja kujibu.
Mie nnachojua ni kuwa hao jamaa wanajua 'kupiga mashine' mfano hakuna, na hii inatokana na minjemba yao kuendekeza matumizi ya 'viagra' za kiasili zinazotokana na mitishamba. Nilishuhudia hilo wakati nilivyokuwa field mkomazi game reserve. Jamaa walikuwa wanayapasha moto juani maji na usiku wanaingia village. wakirudi ni simulizi hizo kwa kwenda mbele.
We acha uongo mbona mnatwangana daily au we kutwanga ni mpaka kwa ngumi na mateke? Hivyo hivyo unavyomfanya unamtwanga.