hayakuhusu!

mkonowapaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2010
Posts
1,492
Reaction score
768
haya mambo yapo na thread kibao zinazungumzia hizi mambo...jamii imebadilika..anyway mimi huwa ni observer tu wa mambo mbali mbali...ila ya leo kali maana kama ulikua hujui ndo ujue kwamba lile kabila la ukanda wa pwani lishapigwa vikumbo zamaniii na kabila moja ivi huko KASKAZINI!!na ni wataalam kweli wa kuficha hisia na muonekano..wana ndoa zao na kazi zao za heshima!!

habari ndio iyo!!
 


ndo nini hii wewe mkono wa nyau.........
mbona sijakuelewa hapa,
hii post naona imekaa kipashkuna hiviiii..................lol...
 
ndo nini hii wewe mkono wa nyau.........
mbona sijakuelewa hapa,
hii post naona imekaa kipashkuna hiviiii..................lol...

mhh yani kuna wakti nasoma baadhi ya thread naishia kuckitika tu utadahni watu wamelazimishwa kutuma hata iwe upupu.
 
Husomeki kabisa mkuu mkonowapaka,kichwa kinauma.nyoosha.
 
Leo week-end start,...watu wanaandikia bar hizi thread,.........
 

Heeeeee????!!!!!!!!!!!!
 
Nimerudia na kurudia tena na tena kusoma lakin wap sikupat
 
mi nimekuelewa mkuu. haya, mwaga basi experience yako na hao wa kaskazini ili waungwana wakupate uzuri yakhe!na usisahau kuelezea kama ww ni wa pwani,lol
 
mi nimekuelewa mkuu. haya, mwaga basi experience yako na hao wa kaskazini ili waungwana wakupate uzuri yakhe!na usisahau kuelezea kama ww ni wa pwani,lol

heheheh!!mi observer kanda za juu kusini wajamen:israel:
 
imekaa kitaarabu

haswaaaa! lakini according to title ya hii thread 'hayakuhusu' kwa hiyo hata kama kilichoandikwa hakieleweki ukae ukijua hayakuhusu!!! u made my day mkono wa paka!!!! heheeee
 
Sijui nilivyoelewa mimi ndo hivyo hivyo???????????
 
sasa jamani si ndo utoe ripoti ya observation yako? ukikaa na observation yako kumoyo ni sawa na kufanya utafiti afu usi-publish! aiii weee, sema banaa!
heheheh!!mi observer kanda za juu kusini wajamen:israel:
 
sasa jamani si ndo utoe ripoti ya observation yako? ukikaa na observation yako kumoyo ni sawa na kufanya utafiti afu usi-publish! aiii weee, sema banaa!

kinga'sti upoo?

hujaelewa nini hapo?

anasema wachaga siki hizi wamewazidi watu wa pwani kwa kupenda ule mtandao unaotanuka kila siku
lakini wamejikausha kama sio wao...
umeelewa??????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…