hahahaDar siku hizi watu wanakabwa na kutobololewa macho kati kati ya umati wa watu.
View attachment 417679
i love u
Julius Kambarge Nyerere, who was the first President of Tanzania and previously Tanganyika, from 1960 until his retirement in 1985
View attachment 417662
Zamana viongozi wa umma walikuwa wanajulika kwa maadili, unyenyekevu, kujali jamiii na uzalendo kwa taifa.
Tanzania ya leo ipo hvyo.
Neno moja kwa baba wa taifa.
Kama hupati picha kesho yako basi kamera ya fikra zako ina chengaZamani kulikuwa hakuna computer wala whats upp ndio maana ulikuwa hupati mabaya yao. Gazeti lilikuwepo ni , uhuru, Daily news, Sunday news na , Mzalendo na yote ni magazeti ya CCM . umekunywa sana pombe ya Nyerere na drug yake ndio umebaki kutwambia maneno haya , Nyerere Baba wa Taifa kama vile ndiye aliyekuzaa
Pole sana
Haina chenga ina michanga tuliyotiwa na Nyerere. Wewe umesomeshwa shuleni wakati sisi tumepanga foleni mpaka ya kununua viberiti. Ukikamatwa na colgate ya Kenya unaulizwa ulikoipata ,kule Mbeya watu wakibadilisha dhahabu kwa chumvi .Ni mengi lakini kokaini ya Nyerere imekuharibu huwezi kufahamuKama hupati picha kesho yako basi kamera ya fikra zako ina chenga
Sijajua kwanini una chuki na marehemu_baba wa taifa hili kiasi hiki mkuu.Haina chenga ina michanga tuliyotiwa na Nyerere. Wewe umesomeshwa shuleni wakati sisi tumepanga foleni mpaka ya kununua viberiti. Ukikamatwa na colgate ya Kenya unaulizwa ulikoipata ,kule Mbeya watu wakibadilisha dhahabu kwa chumvi .Ni mengi lakini kokaini ya Nyerere imekuharibu huwezi kufahamu
Sija
Sijajua kwanini una chuki na marehemu_baba wa taifa hili kiasi hiki mkuu.
Ikiwa bado kuna michango ya mafuta ya mwenge na watu kupoteza working hours zao kufukuzana na mwenge , maisha hali itakuwa ni kukata tamaaInaonyesha kabisa kua tumekata tamaakua hakuna atakayekuja kutokea kama yeye,so viongozi wetu na sisi wananchi tumekata tamaa kuwa hakuna atakaye kuja kutokea kama Mwalimu,
I respect you dad