Hayati Benjamin Mkapa ndiye aliyejua Kiingereza fasaha Afrika Mashariki

Hayati Benjamin Mkapa ndiye aliyejua Kiingereza fasaha Afrika Mashariki

Airfryer

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2021
Posts
430
Reaction score
1,039
Benjamin Mkapa ni hayati sasa. Huyu Mwamba ndie Raia aliyeongea Kiingereza kilichonyooka kisichofungamana na lugha za Kikukiyu, kiluya, kinyakyusa, kimakonde au lugha yoyote Mama Afrika Mashariki

Vyombo vya habari vya Kenya mara kadhaa vimemuhoji Benjamin Mkapa kuhusu aliifahamu vipi lugha ya Kiingereza kuanzia muundo, Fasihi na misamiati na kuwa mtu pekee aliyejua Kiingereza kwa ufasaha kwenye nyanja zote za siasa, uchumi na engineeeing Katika Afrika Mashariki na Kusini mwa jangwa la sahara

Mkapa akiwa IMF na World Bank kuomba nchi za Afrika zipunguziwe madeni aliongea Kiingereza kilichowaacha wana uchumi midomo wazi

Afrika Mashariki na bara la Afrika alitambulika kama Baba wa Diplomasia na uwasilishaji wa hoja zenye nguvu kwa lugha fasaha ya Kiingereza

Ni dhahiri shahiri ukihudhuria midahalo ya Thabo Mbeki, Olusegan Obasanjo na Ben Mkapa unapata kutambua Mkapa alikuwa mtu wa pekee sana

Mkapa hakuwa na PhD bali alisoma shahada ya lugha pale Makerere University Uganda

Hakuna chombo cha habari duniani kisichomfahamu Ben Mkapa

Ben Mkapa kuna wakati wazungu wenyewe wenye lugha yao walihitaji msaada wake kwenye uwasilishaji wa mambo yanayohusu Afrika

Kenya, Uganda na Tanzania hatuna mtu tena mwenye uwezo wa kuongea na kufahamu lugha ya Kiingereza

Limebaki Pengo kubwa East Africa

Kuna watu waliozaliwa na vipaji vyao na walitokea vijiji vya ndani kabisa visivyokuwa na mazingira bora ya shule

Viongozi wetu wa sasa Afrika Mashariki hawana uwezo wa kupangilia lugha za kiuchumi, kisiasa na kidiplomasia kuweza kupambana na wazungu kwenye midahalo kama alivyokuwa Ben Mkapa
 
Benjamin Mkapa ni hayati sasa. Huyu Mwamba ndie Raia aliyeongea Kiingereza kilichonyooka kisichofungamana na lugha za kikukiyu, kiluya, kinyakyusa, kimakonde au lugha yeyote Mama Afrika mashariki

Vyombo vya habari vya Kenya mara kadhaa vimemuhoji Benjamin Mkapa kuhusu aliifahamu vipi lugha ya Kiingereza kuanzia muundo, Fasihi na misamiati na kuwa mtu pekee aliyejua Kiingereza kwa ufasaha kwenye nyanja zote za siasa, uchumi na engineeeing Katika Afrika mashariki na kusini mwa jangwa la sahara

Mkapa akiwa IMF na World Bank kuomba nchi za Afrika zipunguziwe madeni aliongea Kiingereza kilichowaacha wana uchumi midomo wazi

Afrika mashariki na bara la Afrika alitambulika kama Baba wa diplomasia na uwasilishaji wa hoja zenye nguvu kwa lugha fasaha ya kiingereza

Ni dhahiri shahiri ukihudhuria midahalo ya Thabo Mbeki, Olusegan Obasanjo na Ben Mkapa unapata kutambua Mkapa alikuwa mtu wa pekee sana

Mkapa hakuwa na PhD bali alisoma shahada ya lugha pale Makerere University Uganda

Hakuna chombo cha habari duniani kisichomfaham Ben Mkapa

Ben Mkapa kuna wakati wazungu wenyewe wenye lugha yao walihitaji msaada wake kwenye uwasilishaji wa mambo yanayohusu Afrika

Kenya, Uganda na Tanzania hatuna mtu tena mwenye uwezo wa kuongea na kufahamu lugha ya kiingereza

Limebaki Pengo kubwa East Africa

Kuna watu waliozaliwa na vipaji vyao na walitokea vijiji vya ndani kabisa visivyokuwa na mazingira bora ya shule

Viongozi wetu wa sasa Afrika mashariki hawana uwezo wa kupangilia lugha za kiuchumi, kisiasa na kidiplomasia kuweza kupambana na wazungu kwenye midahalo kama alivyokuwa Ben Mkapa
Licha ya kuwa haifai kushindana kuhusu nani mbabe kwa kuongea lugha za wenyewe, lakini mkapa hawezi mshinda proff Lumumba ama marehemu makamu wa rais kijana wamalwa. Hilo nakuhakikishia. Hadi hujamsikiza Maina Kageni wa classic redio hapa Kenya.
 
Licha ya kuwa haifai kushindana kuhusu nani mbabe kwa kuongea lugha za wenyewe, lakini mkapa hawezi mshinda proff Lumumba ama marehemu makamu wa rais kijana wamalwa. Hilo nakuhakikishia. Hadi hujamsikiza Maina Kageni wa classic redio hapa Kenya.
Lumumba yupo vizuri, mkapa pia yupo vizuri labda kama hujawahi msikiliza mkapa. Kabudi yupo vizuri na Agustin Mahiga was the fluently best
 
Yupo Proff Kabudi,Huyo mwamba anajua sana,Alizuru kenya kumuwakilisha Hayati Jpm kwenye ule mkutano wao wa BBI,kama mnakumbuka alikua anaongea kwa usahihi uliotukuka kiswahili na kingereza bila kutetereka
 
Back
Top Bottom