Hayati John Pombe Magufuli alitutoa kwenye giza totoro lililoleta kashfa kubwa ya Ufisadi wa Richmond na Escrow

Nimesoma tu mistari miwili ya kwanza nikajiridhisha ya kwamba nikiendelea kusoma zaidi nitapigwa ban
 
Mkuu ukweli utabaki ukweli usihofu JPM ni mzalendo halisi wa karne ya leo!

Hamna mzalendo mwizi, ngoja ufanyike ukaguzi hapo ndio uzalendo wa kweli utafahamika. Kama alikuwa anateka na kuua wote wanaohoji wizi wake, basi saa hii yuko kuzimu acha watu wajiridhishe na uzalendo wake kwa kukagua mahesabu.
 
Je Nape anamchimba Makamu wa Rais aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mipango wakati ule? Na pia Rais aliyekuwa Makamu wa Rais. Atambue yeye amekuwa kwenye serikali hiyo kipindi fulani mbona hakuyasema kwenye Baraza la Mawaziri?
Ulitaka aseme vipi wakati mlimtolea bastola hadharani? Sasa hivi mkae kwa kutulia taarifa za lile jizi la kura zikae peupe.
 
Mtazamo wako uko sawa wala sina tatzo juu ya hilo ila kama uraisi ni taasisi basi lawana ziwe zinaenda kwa watu wote kuanzia rais, makamu wake, waziri mkuu na bunge letu hatuwez kutoa lawama wakati wanaotoa lawana na wao walikuwepo kweny system ya serikali kusemea kitu ambacho ulikuwa na uwezo wa kusema kwa wakati huo huo ila sasa ivi ndo unasema ni kupoteza tu muda
 
Haya Wai chato katambikwe kwenye kaburi lake mungu wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…