Sijui hujaelewa nilichoandika...Mrema alikuwa CCM, akatoka huko kwenda upinzani kipindi cha Mkapa akaangukia pua, toka hapo akawa chawa wa serikali full hadi anakufaUnakumbuka sakata la Chavda? Ulikuwa hujazaliwa
Si kweli kivipi?Kuanza kumuunga mkono mgombea wa chama kisichokuhusu na kumuacha wa chama chako siyo upuuzi na usaliti wa wazi barabarani?Sio kweli