Hayati Magufuli alijaza makada wa CCM kwenye teuzi za Serikali, hawa ndio wapiga dili wenyewe, Rais Samia asiwachekee

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Katika eneo pekee ambalo hayati Magufuli hakuliwekea mkazo wa kutosha ni kwenye teuzi za watendaji wa serikali.

Magufuli alijaza makada wa CCM serikalini na jambo hili halina afya sana kwa serikali nashauri Rais Samia aliangalie kwa macho mawili.

Nia ya hayati Magufuli ilikuwa njema kabisa ila wateuliwa ndio walionyesha tatizo lilipo hebu mwangalie kada wa CCM Sabaya kwa mfano.

Mwanasiasa siku zote anawaza kuiba kuanzia KURA hadi chochote kile.

Nawatakia Sabato njema!
 
Acha wapige mpaka wenyewe waseme basi

Ova
 
Baada ya rais Samia kubadilika na kuwa mkali ,Lisu matumbo joto
 
Siku mkigundua kwamba mna cheza na kijinga cha moto, akili itakaa vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…