johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Chura imo ndani kwa ndani au imetuna tu nje?Unahangaikaga ilimradi tu uonekane nawe umo, kumbe ni debe tupu la uwele popoma.
Zitto!Nawachukia wezi wa mali ya umma. Wananikera wanavyojidai eti ni wazalendo kumbe kila wanalofanya wanapambania nafsi zao tena kwa hila na kuwatumia watu maskini wa nchi hii
Hizi ni tuhuma nzito unaweza zithibitisha??Nasikia hadi kwenye vyombo vya ulinzi na USALAMA makada wwalingizwa bila kufata vigezo
Umepiga ikulu chief. From branch manager kwenye private bank to CEO of the Nation sole Telecoms Company!Watu kama akina Waziri Kindamba...Mkurugenzi wa TTCL
Unasikia toka kwa akina nani? Kwani ungeacha tu kusema hivyo ungekuwa na shida gani?Nasikia hadi kwenye vyombo vya ulinzi na USALAMA makada wwalingizwa bila kufata vigezo
Bwashee mbege imehalalishwa na mahakama!Usipokunywa mataputapu unakuwaga na akili timamu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Si ndiyo maana wanafungulia watu wasio na hatia kesi za kipumbavu ambazo zinaidhalilisha Serikali yakeNasikia hadi kwenye vyombo vya ulinzi na USALAMA makada wwalingizwa bila kufata vigezo
Beyond any shadow of doubtHizi ni tuhuma nzito unaweza zithibitisha??