Kwenu mnakunywa wanzukiBwashee mbege imehalalishwa na mahakama!
Unakuta DG wa TTCL anavaa mashati ya chama ofisini!Kila siku tunasoma vitabu vya ujasusi wa kiuchumi ili tusonge kama taifa lakini unakuta umweka kada asiye na maono unatagemea afanye maendeleo gani kwa taifa, sema Kama taifa tumeshawatenga wasomi wenye elimu, ujuzi na weledi tunaangukia kwa wanasiasa mambumbumbu yasiyo na dira, mama anza kupunguza makada wasio na tija kwa taifa
Mkuu, huyu John, ni AKILI KUBWA! Wakati mwingine huwa ANAIGIZA tu!So unakiri makada wa ccm ni wapiga dili sio?
Atlast baada ya ubishi wa muda mrefu [emoji1787]
Haa Awapeleke Kisutu Sasa HiviAcha wapige mpaka wenyewe waseme basi
Ova
Beyond any shadow of doubt
Bado haingii akilini, sababu ya bwana yule kufutwa kazi na kupelekwa ubalozini unazifahamu?Beyond any shadow of doubt
Mabeberu Hayatupendi Kumbe Hayo MabeberuMabeberu Ni Makada WEZI Kwa ChamaUnakuta DG wa TTCL anavaa mashati ya chama ofisini!
kumbe alikuwa branch managerUmepiga ikulu chief. From branch manager kwenye private bank to CEO of the Nation sole Telecoms Company!
Hili nimelishudia kwa macho yangu. Nilikutana na baadhi ya makada waliotoka umoja wa vijana wameajiriwa na chombo nyeti cha Ulinzi. Yaani ni weupe kichwani sikuamini macho na masikio yangu, baada ya kushuhudia utendaji wao uliokuwa wa kiwango cha chini kabisa.Nasikia hadi kwenye vyombo vya ulinzi na USALAMA makada wwalingizwa bila kufata vigezo
And before that he was just a normal risk officer kwenye Bank moja ambayo serikali inahisa.kumbe alikuwa branch manager
Nia yake ilikuwa mbaya kwa Taifa hili kuteua watu wanaofikiria matumbo yao na kuwapendelea watetezi wake na wewe ukiwa miongoni mwao,kama Mama Samia atakuwa ameligundua hili,basi hamna shaka kuwa na wewe mtoa post unastahili kuwajibishwa kama Ole Sabaya.Katika eneo pekee ambalo hayati Magufuli hakuliwekea mkazo wa kutosha ni kwenye teuzi za watendaji wa serikali.
Magufuli alijaza makada wa CCM serikalini na jambo hili halina afya sana kwa serikali nashauri Rais Samia aliangalie kwa macho mawili.
Nia ya hayati Magufuli ilikuwa njema kabisa ila wateuliwa ndio walionyesha tatizo lilipo hebu mwangalie kada wa CCM Sabaya kwa mfano.
Mwanasiasa siku zote anawaza kuiba kuanzia KURA hadi chochote kile.
Nawatakia Sabato njema!
Huyu Yohana Mbatizaji naona sasa hivi " ameokoka". Huyu wa sasa naona amekuwa tofauti na yule wa kipindi kile cha enzi za "hapa kazi tu"Usipokunywa mataputapu unakuwaga na akili timamu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
January sio kada?Katika eneo pekee ambalo hayati Magufuli hakuliwekea mkazo wa kutosha ni kwenye teuzi za watendaji wa serikali.
Magufuli alijaza makada wa CCM serikalini na jambo hili halina afya sana kwa serikali nashauri Rais Samia aliangalie kwa macho mawili.
Nia ya hayati Magufuli ilikuwa njema kabisa ila wateuliwa ndio walionyesha tatizo lilipo hebu mwangalie kada wa CCM Sabaya kwa mfano.
Mwanasiasa siku zote anawaza kuiba kuanzia KURA hadi chochote kile.
Nawatakia Sabato njema!
Mataga wote wakijirudi kama wewe itapendeza sana. Sifia panapostahili. Na kosoa penye kasoro. Sio kusifia kila kitu.Katika eneo pekee ambalo hayati Magufuli hakuliwekea mkazo wa kutosha ni kwenye teuzi za watendaji wa serikali.
Magufuli alijaza makada wa CCM serikalini na jambo hili halina afya sana kwa serikali nashauri Rais Samia aliangalie kwa macho mawili.
Nia ya hayati Magufuli ilikuwa njema kabisa ila wateuliwa ndio walionyesha tatizo lilipo hebu mwangalie kada wa CCM Sabaya kwa mfano.
Mwanasiasa siku zote anawaza kuiba kuanzia KURA hadi chochote kile.
Nawatakia Sabato njema!
Hahahaaaa....... Bwashee mimi ni mstaafu!Nia yake ilikuwa mbaya kwa Taifa hili kuteua watu wanaofikiria matumbo yao na kuwapendelea watetezi wake na wewe ukiwa miongoni mwao,kama Mama Samia atakuwa ameligundua hili,basi hamna shaka kuwa na wewe mtoa post unastahili kuwajibishwa kama Ole Sabaya.
Msema kweli mpenzi wa Mungu!Mataga wote wakijirudi kama wewe itapendeza sana. Sifia panapostahili. Na kosoa penye kasoro. Sio kusifia kila kitu.
Msema kweli mpenzi wa Mungu!
Wa mbinguni!Mungu yupi?