Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Kwa namna mama anavyoliponywa Taifa, Kwa namna Makamu wa Rais wa Magufuli anavyopingana naye. Na Kwa kuzingatia namna waliokuwa karibu take kuanzia Mawaziri wasivyopenda kumtaja taja kwenye hotuba zao au mazungumzo;
Je, Kwa upeo wako kama mwananchi unaamini Mzee Magufuli alikuwa asset Kwa Taifa au liability? Kwa wale waliopo ndani ya chama mnaamini Mzee Magufuli alikuwa Asset au liability Kwa chama? Kwa wale wa upinzania upi msimamo wenu kwenye tathimini ya miaka mitano ya Mzee Magufuli. Was he an asset or a liability?
Je, Kwa upeo wako kama mwananchi unaamini Mzee Magufuli alikuwa asset Kwa Taifa au liability? Kwa wale waliopo ndani ya chama mnaamini Mzee Magufuli alikuwa Asset au liability Kwa chama? Kwa wale wa upinzania upi msimamo wenu kwenye tathimini ya miaka mitano ya Mzee Magufuli. Was he an asset or a liability?