Kuna watu hawawazi kama kuna watu kupata milo miwili kwa siku ni shida.
Unakuta baba ni fundi na anategemea akitoka akapata kibarua ndiyo nyumbani wanasonga ugali, baba ni machinga akitoka akatembeza vitu mitaani ndiyo familia inakula.
Wapo watu tangu wamezaliwa hawajawahi kukosa chai kuanzia kwa wazazi wake mpaka kwake yeye mwenyewe.
Binafsi nilimwelewa sana JPM alivyokuwa akiwatetea hawa watu wa chini kuwa wasinyanyaswe.
Rai yangu walalahoi tumtafute mtu aliyewahi kupitia maisha haya ya huku chini atatufaa sana kwa kuwa mwelewa katika kusimamia haki zetu.
Unakuta baba ni fundi na anategemea akitoka akapata kibarua ndiyo nyumbani wanasonga ugali, baba ni machinga akitoka akatembeza vitu mitaani ndiyo familia inakula.
Wapo watu tangu wamezaliwa hawajawahi kukosa chai kuanzia kwa wazazi wake mpaka kwake yeye mwenyewe.
Binafsi nilimwelewa sana JPM alivyokuwa akiwatetea hawa watu wa chini kuwa wasinyanyaswe.
Rai yangu walalahoi tumtafute mtu aliyewahi kupitia maisha haya ya huku chini atatufaa sana kwa kuwa mwelewa katika kusimamia haki zetu.