Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hi!
Sekta ya ajira
Serikali yake ilishindwa kuajiri angalau kwa wastani wa kupunguza jobless kwa kila familia na ukoo.
Sasa hakuna Rais ataweza kufix suala la unemployment Tanzania. Mpaka sasa wapo madaktari wanajitolea na kulipwa kidogo ili tu siku ziende. Hali hii haijawahi kutokea tangu tupate uhuru. Sekta binafsi ambaye ndiye mwajiri mkubwa mnajua kilichotokea. Wengi walipoteza kazi.
Kilimo
Sekta ya kilimo aliipiga vibaya mno. Hata wizara yenyewe ya kilimo ilikuwa haipewi pesa za maana.
Uvuvi
Huko nako hakuacha , wavuvi wakubwa walinyooshwa mpaka walinyooka.
Biashara
Aahhh huko ndo usiseme neno. TRA walikuwa wanatembea na mapolisi wenye SMG kila wakati. Maduka maelfu kwa maelfu yalifungwa. Mimi ni mmoja wa waliofunga maduka yao.
Watumishi wa Umma
Tulinyooshwa haswa kwa kisingizio kuwa anafanya maendeleo. Itachukua miaka mingi kidogo Watanzania kusogea mbele.
Binafsi sio maskini wala si fukara, nina ajira permanent, nina miradi ya hapa na pale kiasi kwamba naweza kuishi out of employment, ila Watanzania wengi ni mafukara. John Pombe kachangia sana hili
Sekta ya ajira
Serikali yake ilishindwa kuajiri angalau kwa wastani wa kupunguza jobless kwa kila familia na ukoo.
Sasa hakuna Rais ataweza kufix suala la unemployment Tanzania. Mpaka sasa wapo madaktari wanajitolea na kulipwa kidogo ili tu siku ziende. Hali hii haijawahi kutokea tangu tupate uhuru. Sekta binafsi ambaye ndiye mwajiri mkubwa mnajua kilichotokea. Wengi walipoteza kazi.
Kilimo
Sekta ya kilimo aliipiga vibaya mno. Hata wizara yenyewe ya kilimo ilikuwa haipewi pesa za maana.
Uvuvi
Huko nako hakuacha , wavuvi wakubwa walinyooshwa mpaka walinyooka.
Biashara
Aahhh huko ndo usiseme neno. TRA walikuwa wanatembea na mapolisi wenye SMG kila wakati. Maduka maelfu kwa maelfu yalifungwa. Mimi ni mmoja wa waliofunga maduka yao.
Watumishi wa Umma
Tulinyooshwa haswa kwa kisingizio kuwa anafanya maendeleo. Itachukua miaka mingi kidogo Watanzania kusogea mbele.
Binafsi sio maskini wala si fukara, nina ajira permanent, nina miradi ya hapa na pale kiasi kwamba naweza kuishi out of employment, ila Watanzania wengi ni mafukara. John Pombe kachangia sana hili