Habari za j2
Nimekaa nikamkumbuka chuma John Pombe Magufulu kuwa angekua hai inamaanisha huu mwaka ndio angekua anamaliza awamu yake ya mwisho na kuwa Rais Mstaafu!
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hakika tungekua na Tanzania iliyojaa barabara, flyovers, madaraja, nk.
Kuna matatizo ya kijingajinga tusingekua nayo hivi sasa kama wananchi.
R.I.P CHUMAJPM
Nimekaa nikamkumbuka chuma John Pombe Magufulu kuwa angekua hai inamaanisha huu mwaka ndio angekua anamaliza awamu yake ya mwisho na kuwa Rais Mstaafu!
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hakika tungekua na Tanzania iliyojaa barabara, flyovers, madaraja, nk.
Kuna matatizo ya kijingajinga tusingekua nayo hivi sasa kama wananchi.
R.I.P CHUMAJPM