'Waliopata ajira kwa vyeti feki walivyonunua Kariakoo hawezi kunipenda'
Bila kurudisha fedha ya DPP?
Hapa watesi wake hawaji,tegemea uzi kudodaMoja ya nukuu ya Hayati Magufuli kuhusu madawa ya kulevya
'Ukiwagusa hawa waliokuwa wanapata fedha kwa madawa ya kulevya usitegemee kama watakupenda na mimi sitaki wanipende lakini vijana tutakaokuwa tumewaokoa tangu tutangaze hii vita ni wengi watajibu siku moja kwa ajili ya faida ya tanzania tanzania ilikuwa inanda pabaya'
Halafu hizi nyimbo mtaimba sana tu kujifariji,niwahakikishie ni furaha za mitandaoni tu , field mwamba ndio habari yenyewe.Alikuwa amejikusanyia Ngamia na Farasi kwenye shamba lake kwa pesa ya zulma juzi nimepita pale nipakuta patupu hahaha...
Astaghfirulaah, juzi juzi nilikuwa Chato watu wamegawanyika lakini wengi wanamponda.masharriti ya kufirana.
Yeye naye PhD yake feki ilipoguswa akamuua Ben Saanane'Waliopata ajira kwa vyeti feki walivyonunua Kariakoo hawezi kunipenda'
Ben Saanane aliuliwa na MBOWEYeye naye PhD yake feki ilipoguswa akamuua Ben Saanane
Ingekuwa hivyo Mbowe angekuwa jela anasubiri kitanzi. Dhalim alimuu Ben kwa mkono wake mwenyeweBen Saanane aliuliwa na MBOWE
Tuwaache wampondea hapahapa mtandaoni. Ila wasije jichanganya huku mtaani, tutachowafanyie hao kima hata shetani anashangaa Mwamba ni Jiwe kweli kila aliyejikwaa juu ya jiwe alisambaratika
hahaaHapa watesi wake hawaji,tegemea uzi kudoda
hao wamejaa hata humu JFINDEED
wauza unga?hao wamejaa hata humu JF
Mpuuzi tu yuleMoja ya nukuu ya Hayati Magufuli kuhusu madawa ya kulevya
'Ukiwagusa hawa waliokuwa wanapata fedha kwa madawa ya kulevya usitegemee kama watakupenda na mimi sitaki wanipende lakini vijana tutakaokuwa tumewaokoa tangu tutangaze hii vita ni wengi watajibu siku moja kwa ajili ya faida ya tanzania tanzania ilikuwa inanda pabaya'
Aliwafikisha wangapi mahakamani na ni wangapi walipatikana na hatia?Moja ya nukuu ya Hayati Magufuli kuhusu madawa ya kulevya
'Ukiwagusa hawa waliokuwa wanapata fedha kwa madawa ya kulevya usitegemee kama watakupenda na mimi sitaki wanipende lakini vijana tutakaokuwa tumewaokoa tangu tutangaze hii vita ni wengi watajibu siku moja kwa ajili ya faida ya tanzania tanzania ilikuwa inanda pabaya'