Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Aliitwa/alienda mwenyewe nafikiri ilikuwa ni kesi ya Balozi aliyeitwa Mahalu aliyeshutumiwa kwa uuzaji wa nyumba ya Ubolozi huko Italia, baada ya Mkapa hakuna na wala hakujawahi kuwa na Rais wa Tanzania aliyeitwa Mahakamani.
Mzee Mkapa Mahakamani
Mzee Mkapa Mahakamani