hassan kisabya
Senior Member
- Jun 14, 2014
- 165
- 109
Hayati Prof.Kighoma Ali Malima, mzaliwa Pwani, wilaya ya Mkuranga Tarafa ya Mkamba, mwasisi wa NRA, ni miongoni mwa viongozi wenye sifa ya uadilifu waliopata kutokea Tanzania, Ni mwanamapindizu wa fikra hapa Tanzania, aliwahi kuutahadharisha umma kuwa "Kama yupo mtanzania anayeunda chama ili kupambana na chama kingine,basi mtu huyo amepoteza uzalendo na dira, aliamini uundwaji wa vyama utambue kuwa vyama vinakuja sio kupambana na chama kingine bali watu waunde vyama ili kupambana na shida na kero za watanzania"
Fikra hizi Ndio zinaifanya NRA Kuwa taasisi pekee tanzania iliyo mstari wa mbele kuuonea huruma umma na kuweka mbele maslahi ya taifa ,viongozi wa sasa wakiongozwa na mhe Rashid Mtuta (M/kiti Taifa),tumeendelea kuenzi fikra hizi
Fikra hizi Ndio zinaifanya NRA Kuwa taasisi pekee tanzania iliyo mstari wa mbele kuuonea huruma umma na kuweka mbele maslahi ya taifa ,viongozi wa sasa wakiongozwa na mhe Rashid Mtuta (M/kiti Taifa),tumeendelea kuenzi fikra hizi