Hayawezekani kwa uzima!!! Lazima wawe vichaa/ walemavu wa akili !!!!

Hayawezekani kwa uzima!!! Lazima wawe vichaa/ walemavu wa akili !!!!

KAPERO

Member
Joined
Jul 18, 2010
Posts
46
Reaction score
8
Hakika haiwezekani ntu mwenye uzima afanye miujiza ya aina hii. kumtambia mke kwa kimada. na kama akiwepo mke anafanyiwa hivyo akakubali madudu hayo lazima akachunguzwe akili kwanza. na kimada wa hivyo pia naomba akachunguzwe.

hakika ndoa inatisha kuliko mahakama ya raiya wenye hasira kali tena wenye sheria mikononi mwao.. nasema hivyo kwa vile nimewahi kushuhudia sakata za fumanizi za wapezi,,wangekua na ndoa naamini lazima wange uwana. sasa iweje wenye kuvumiliana kwa hali hiyo tuwaone kuwa ni wazimaa!!!???
 
Mbona kama sielewi unataka nini mkuu,ni hoja,swali au unaelekeza mkuu?au uelewa wangu mudogo wajameni?mwanawane makiswahili hayanaga mwenyewe gete...
 
Hakika haiwezekani ntu mwenye uzima afanye miujiza ya aina hii. kumtambia mke kwa kimada. na kama akiwepo mke anafanyiwa hivyo akakubali madudu hayo lazima akachunguzwe akili kwanza. na kimada wa hivyo pia naomba akachunguzwe.

hakika ndoa inatisha kuliko mahakama ya raiya wenye hasira kali tena wenye sheria mikononi mwao.. nasema hivyo kwa vile nimewahi kushuhudia sakata za fumanizi za wapezi,,wangekua na ndoa naamini lazima wange uwana. sasa iweje wenye kuvumiliana kwa hali hiyo tuwaone kuwa ni wazimaa!!!???

Pole sana kaka, ndo ukubwa huo. Vumilia
 
Hakika haiwezekani ntu mwenye uzima afanye miujiza ya aina hii. kumtambia mke kwa kimada. na kama akiwepo mke anafanyiwa hivyo akakubali madudu hayo lazima akachunguzwe akili kwanza. na kimada wa hivyo pia naomba akachunguzwe.

hakika ndoa inatisha kuliko mahakama ya raiya wenye hasira kali tena wenye sheria mikononi mwao.. nasema hivyo kwa vile nimewahi kushuhudia sakata za fumanizi za wapezi,,wangekua na ndoa naamini lazima wange uwana. sasa iweje wenye kuvumiliana kwa hali hiyo tuwaone kuwa ni wazimaa!!!???

mKUU NAONA KAMA UMECHANGANYIKIWA... HEBU WAHI HOSPITALI WAKUPE DAWA ZA KUTULIZA KICHWA HALAFU UJE KU-EDIT,

POLE AISEE MAPENZI YANAUA
 
mke anastahili kuheshimiwa. Kwanza na huyo aliyemwoa pili kwa jamii nzima inayomzunguka. Heshima ya mke inapatikana kwa mume wake.
 
Back
Top Bottom