Hayawi hayawi huwa, safari ya kuuza mafuta inaanza leo Kenya

Guyz tuendelee kuongea mambo ya mafuta. Mambo ya economics tuachane nayo. Atleast Kenya itakuwa the first country in East Africa to export oil. Kenya tutazidi kusonga mbele majirani wakisoma namba.
 
Guyz tuendelee kuongea mambo ya mafuta. Mambo ya economics tuachane nayo. Atleast Kenya itakuwa the first country in East Africa to export oil. Kenya tutazidi kusonga mbele majirani wakisoma namba.
tanzania ina gas na ina bomba la gas from mtwara to dar almost 600km na sasa gas inasambazwa majumbani kupitia kwenye mabomba dar lakin huskii hapa tukiongeaπŸ˜€πŸ˜€
 
hahaha msaidie mwenzio kumuelimisha πŸ˜€πŸ˜€ yani anaakili za kipuuz sana
Mk254 ni mtu ninayemheshimu sana. Nilikuwa nasoma posts zake kutoka 2015. Yeye na sam999 ndio watu niliowafuatilia kwa karibu. Kwa hivyo siwezi mtusi. Pia nimesoma report ya Mk254 na ni kweli anavyosema kuwa world bank imesema T.Z 70% wanaishi below $2 .Kwa hivyo ako sahihi
 
tanzania ina gas na ina bomba la gas from mtwara to dar almost 600km na sasa gas inasambazwa majumbani kupitia kwenye mabomba dar lakin huskii hapa tukiongeaπŸ˜€πŸ˜€
Kwenye gesi mko sawa. Kwa hivyo East Africa kwa ujumla tunazidi kutanua, na ni jambo nzuri kuona kila nchi ikisonga mbele.
 
hatujasema umtusi anapokua hajaelewa anaelimishwa tu asipotaka kuelewa tunamuacha
hehehe sio kila unaemuheshimu akawa na akili unaeza muheshimu hata kama mtu ni bogus tuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
soma maelezo walichoandika na world bank report nimekupa bado wapi hujaelewa πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Kwenye gesi mko sawa. Kwa hivyo East Africa kwa ujumla tunazidi kutanua, na ni jambo nzuri kuona kila nchi ikisonga mbele.
hehehe usisahau na bomba la mafuta kutoka uganda amabalo lilitaka kuwatoa rohoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ maana mulilia kenya nzima nusu ya kufa
 
Nakubaliana na Mk254 kwamba report inasema Watanzania wanapokea chini ya $2 per day. Sielewi kwa nini unasema Mk254 kakosea. Basi nionyeshe ni wapi yeye kakosea.
 
Bomba bado halijaanza. Kwa sasa tujikite kwenye realities sio fantasies πŸ˜€πŸ˜€
do u knw that tanzania has oil pipeline from dar to zambia????πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Naona kuna jamaa ametoa povu kweli. Hizi habari hazifurahishi wengi. Hahaha. Wacha ninywe kahawa.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
do u knw that tanzania has oil pipeline from dar to zambia????πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Ichoboy naona leo sio siku yako. Mk254 amekutoa jasho kweli.Uwe na usiku mwanana usiokuwa na bugdha, mushkir na tafarani yoyote. Hio ni kiswahili changu feki.
 
Naona kuna jamaa ametoa povu kweli. Hizi habari hazifurahishi wengi. Hahaha. Wacha ninywe kahawa.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Mimi nimeketi nayapitia povu.... and really getting entertained.Haki if you were near they would hack you to death....
 
Wameona wayabebe kwenye pickup sababu kwenye Bomba yatakaukia humo kabla ya kufika melini kwa namna yalivyo kiduchu
Aiwewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Huyo muache, ni baadhi ya wale hupata kiki sana wakijibiwa na Wakenya, ameng'ang'ania kupost mapicha ya sijui indexmudi
Kitu hakifahamu ni kwamba indicators za poverty level zimekua revised, wao kwenye $2 a day wapo a freaking 70% countrywide.
The World Bank Now Has Three Poverty Lines. Why Not Three for Energy?

http://blogs.worldbank.org/developm...y-global-poverty-basically-unchanged-how-even
 
Jamaa haelewi poverty line ya Kenya (Lower middle income) ni $3.20 per day while ya Tz (LDC) ni $1.90. I avoid engaging stupid people like him but today you really dragged him through a rocky path. Kama ni povu amelitoa.
 
Hongereni wakenya...wandugu wanajumuiya ya Afrika Mashariki acheni kutishiana kwa maendeleo.

Yeah kenya mna mengi na hongereni kwa hilo but keep in mind that mmeendelea so msipige kelele saana kama wamarekani be like chinese.
 
Kusafirisha mafuta 'machafu' toka Turkana county mpaka bandari ya Mombasa kwa malori hii inamaanisha mradi huu ni wa gharama kubwa sana ki-logistics na kuna uwezekano wa ufisadi kufaidisha wenye malori.

Kenya’s quest for the oil dollar inched closer today after President Uhuru Kenyatta commissioned the first four trucks ferrying 600 barrels of crude oil from Lokichar in Turkana County to Mombasa by road. Kenyatta urging residents to focus on the long-term impact of the oil revenue that will begin to trickle in, in 2021 following the commercialization of the crude oil.
Source : Kenya Citizen tv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…