pj ni chairman wa ar wing mwanyasi kamuambia amtunze mwali kama mwenyekiti alivyokuwa anatunzwa na ta wing.. Ila pj si muhusika mi elewa hivyo kama nimekosea mnitoe tongotongo
Kwa nini umekosa cha kusema? Au unaanza michachariko ya shughuli....??
Babu DC!!
sasa mgegedo mfiche hata ndoa nayo shurti kwa TUME YA RASIMU YA KATIBA!
ehehheheehhehhe jf bana
hongera mwaya YNNAH
[FONT=book antiqua said:
Tanga Wing tunaleta mwali chuga, ni raha sana[/FONT]
Halafu nimekumiss wewe, Tanga waja lini tena?
Kikwetu hilo neno lina maana kali
Exchange lazima chuga watake wasitake. Haiwezekeni mpoteze member burebure tuMungu akupe heri katika maisha mapya!
Hakikisha yule member wa chuga niliyekwambia tunamleta Ta!
Hahahahaaaaaaa....... babu naona mnataka kulipiza eee? Toa shaka nitahakikisha exchange inafanyika
Exchange lazima chuga watake wasitake. Haiwezekeni mpoteze member burebure tu
Amiina babu DCHapa sas tuko ukurasa mmoja....
Na baraka zote za Babu na Bibi unazo tele...
Babu DC!!