Hayo Mambo Ya Kupekenyuana Mtakuja Mfe..

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Nimemkuta rafiki yangu analia kama mtoto mdogo
chumbani kwake;

MIMI: Oya mshkaji vipi tena nani kafa?

MSHKAJI: Yaani Doreen kaniuwa, hivihivi bila kosa
kaniuwa

MIMI: Hebu tulia nambie ishu nzima
MSHKAJI: Si unajua nimekuwa namlipia Doreen ada
toka sekondari mpaka sasa yuko chuo nikijua ndio
niko peke yangu na nitamuoa?

MIMI: Ndio

MSHKAJI: Jana nikataka kuangalia kanisevu nini
kwenye simu yake
MIMI: Ok

MSHKAJI: Si kanisevu eti Mchungaji Peter 12

MIMI: Sasa tatizo liko wapi

MSHKAJI: Nilipoangalia majina mengine sinimekuta
kuna Pasta Maige, Pasta Jay wa misimo, Askof edwin,
na kuna Mchungaji Peter 1 mpaka mimi wa 12, wakati hata siku moja haendi kanisani wala maombi

MIMI: Dah endelea kulia mwanangu
 
Ukitaka kuugua magonjwa yasiyoambukiza na kuua kwa haraka ---

SOMESHA MCHUMBA
magonjwa hayo ni kama
-Tezi dume
-Blood pressure
-Mtindio wa ubongo
-Kupungua kwa nguvu za kiume
-Kupungua kwa uzito
-Kuzimia zimia
-Kuwa Ndondocha
-Kifo cha ghafla
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Msela hafugi paka[emoji122] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125]
 
Kila siku humu tunasema mchumba hasomeshwi naomba kuanzia sasa iwe kauli mbiu hii
MCHUMBA HASOMESHWI ENYI VIUMBE.
 
Ukitaka kuugua magonjwa yasiyoambukiza na kuua kwa haraka ---

SOMESHA MCHUMBA
magonjwa hayo ni kama
-Tezi dume
-Blood pressure
-Mtindio wa ubongo
-Kupungua kwa nguvu za kiume
-Kupungua kwa uzito
-Kuzimia zimia
-Kuwa Ndondocha
-Kifo cha ghafla
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
safi ndo upesi akomeshwe. tunaambiwaga mchumba hasomeshwi. hatusikii.
 
Usimsaidie mtu kwasababu unataka kumuoa kama unafanya kwa msaada tu sawa
 
Ukitaka kuugua magonjwa yasiyoambukiza na kuua kwa haraka ---

SOMESHA MCHUMBA
magonjwa hayo ni kama
-Tezi dume
-Blood pressure
-Mtindio wa ubongo
-Kupungua kwa nguvu za kiume
-Kupungua kwa uzito
-Kuzimia zimia
-Kuwa Ndondocha
-Kifo cha ghafla
Mpaka Msoga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…