kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Hata ningekuwa Mimi nisingekubali. Mchezaji mwenye hadhi kama ya Chama, sio wa kutumika kama koni kwenye mazoezi.Simba bila chama matokeo yake ndio haya, Tunaomba watuambie Chama kafanya Makosa Gani ya Kinidhamu..??
Mnatukosea sana mashabikiView attachment 2851002
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Wanatukosea sanaHata ningekuwa Mimi nisingekubali. Mchezaji mwenye hadhi kama ya Chama, sio wa kutumika kama koni kwenye mazoezi.
Chama kesha saini yanga, atawasumbua sana . Benchi-kha kasema kama mnampenda sana chama mchukueni mkakae nae ofisini numpe ghahawa na kwa kipindi yupo Simba SC hatakanyaga uwanjani!Simba bila chama matokeo yake ndio haya, Tunaomba watuambie Chama kafanya Makosa Gani ya Kinidhamu..??
Mnatukosea sana mashabikiView attachment 2851002
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Kwendraaaa huko. Wakati SIMBA ikifungwa 5 na yanga Chama hakuwepo? Unampenda sana mpeleke sebuleni kwako.Simba bila chama matokeo yake ndio haya, Tunaomba watuambie Chama kafanya Makosa Gani ya Kinidhamu..??
Mnatukosea sana mashabikiView attachment 2851002
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Wapigie simuSimba bila chama matokeo yake ndio haya, Tunaomba watuambie Chama kafanya Makosa Gani ya Kinidhamu..??
Mnatukosea sana mashabikiView attachment 2851002
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Labda Yanga Queen. Pambaneni nae mtu wenu na mwanzo mwa msimu huu mmempa mkataba kazi kwenu.Chama kesha saini yanga, atawasumbua sana . Benchi-kha kasema kama mnampenda sana chama mchukueni mkakae nae ofisini numpe ghahawa na kwa kipindi yupo Simba SC hatakanyaga uwanjani!
Tena makubwa Sana.Pengine ni watu wengi hawajui Mpira.Mashabiki wa simba mna matatizo nafikiri
Ukweli kutoka kwa mama kubwaChama alikuwepo tarehe 5/11/2023 na goli tano zilifungwa.
Wakishinda mechi ijayo wanasahau yote ya sasa ni kama wana mihemko flaniTena makubwa Sana.Pengine ni watu wengi hawajui Mpira.
Sasa Unafikiri Chama angekuwepo pale angesaidia ninii?
Mbona alikuwepo wakati tunapigwa goli Tano alikua anazirura tu.
Watu hawataki kukubali Chama kaisha.Badala shinikizo liwe kwa Viongozi wasajili wao ni Chama Chama as if atacheza maisha Simba ukiachilia mbali kiwango chake kibovu kwa Sasa.
Unakumbuka kipindi Chama kaenda Morocco? pigia mstariKwahiyo siku chama akistaafu simba haitashinda,, chama akivunja mkataba simba haitashinda,, wakati akinunuliwa tena, simba haitashinda???????
Kwahiyo alivyokuwa Morocco, simba ilifungwa mechi zote?Unakumbuka kipindi Chama kaenda Morocco? pigia mstari