Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
- Thread starter
-
- #181
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nitalala vizuri kama nimekula kitimoto na Heineken
[emoji41]Mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Hahhahah!! Pale kati hakuna uchawi kama unabisha wewe chepuka kama atajua.Mimi mke wa Mshana pitaaa mbali utarogwaaaa
Huku kwema leo nashuhudia mapenzi mubasharaKwema mndali?
Yan ndio nimetoka kwa kanji hapa kutafasiriwaKawa mhindi
NgojaMuanzishie siledi
NgojaMuanzishie siledi
Utakuwa na bahati ya .......Leo mmeamua ina maana hakuna alienidondokea kwel mim?
WowNampenda hazard natamani niyasimulie hadi mawe
Nimekujaa...nipo na safari hapa karibuuNilikua nakusaka uje
Nyoota kaka [emoji23][emoji23][emoji23]Leo mmeamua ina maana hakuna alienidondokea kwel mim?
Safari sizitaki kabisaNimekujaa...nipo na safari hapa karibuu
Hahaha naona unavutaaHahhahah!! Pale kati hakuna uchawi kama unabisha wewe chepuka kama atajua.
Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
Yupo humuhumu anazurura,namlia timing tu nimfungukieKule love connect wapo wengi
Shukran mkuu..si unajua huko mpiran wamenichafua gafla nikapoozwa huku,,huyu mtot anaakili kubwa sanaHeeee leo mambo ni
Fayaaaaa kila sehemuuu
Hii couple naikubali sanaaa pia
Mungu awajaliiye mfike mbali
Muanzishie nanii basi na weweHeeee leo mambo ni
Fayaaaaa kila sehemuuu
Hii couple naikubali sanaaa pia
Mungu awajaliiye mfike mbali
Hahaha hujawah kuzijaribu au zinachangamsha mapemaSafari sizitaki kabisa
Kwel nna nyota ya fund viatu aiseeNyoota kaka [emoji23][emoji23][emoji23]