Kwanza namuogopa kama al-qaida kwa jinsi alivyo na mabomu utadhani al-shabab...[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Lakini moyo ndio ushampenda...[emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]hata mimi nAhisi ..ungekuwa kule kwetu uswahilini tungeshasema kuwa umelishwa limbwata
Mkuu, hivi unamjua FaizaFoxy weweeeee.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Huyo ndio mzuri sasa ukienda unamvuruga akichukia anajilipua mnaaga dunia wote mnaanza maisha mapya pamoja.
Hakika huu ni uchochezihata mimi nAhisi ..ungekuwa kule kwetu uswahilini tungeshasema kuwa umelishwa limbwata
Sasa jamani hilo jina ndo marital status niliyonayo kwa sasa,Yaani sijui nyie wadada mkiiangalia hii ID Mnajenga picha gani juu yangu mweeeeh....Jina linakucost
LooohHuyo ndio mzuri sasa ukienda unamvuruga akichukia anajilipua mnaaga dunia wote mnaanza maisha mapya pamoja.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu, hivi unamjua FaizaFoxy weweeeee.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kwanza yeye mwenyewe ni bomu tosha...[emoji13] [emoji13]
Sasa ndo umekua sugu ivo?Sasa jamani hilo jina ndo marital status niliyonayo kwa sasa,Yaani sijui nyie wadada mkiiangalia hii ID Mnajenga picha gani juu yangu mweeeeh....
kwaheri ..muwe na usiku mwema ..Hakika huu ni uchochezi
Kumfariji yanimoyo nautiaje sasa ...hapo ndio sielewi
Unaweza ukanisemeshea huyo nilie mtaja....[emoji29] [emoji29][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu kazana tu kufatilia usikate tamaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Unaweza ukanisemeshea huyo nilie mtaja....[emoji29] [emoji29]
Maana kama shida ingekua sumu, basi wengi tunge kwisha kukufa....[emoji12] [emoji12]
Mh basi ngoja kesho niandike barua kwa Melo nibadili jina maana nahisi nitadoda huku wenzangu wanabebwa kupelekwa bafuni kuogeshwa.Sasa ndo umekua sugu ivo?
Labda niende na mabomu ya kujilipua, maana akikataa inabidi nikufe tu....[emoji13] [emoji13] [emoji13]Mkuu kazana tu kufatilia usikate tamaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaha fanya hivyo bachela suguMh basi ngoja kesho niandike barua kwa Melo nibadili jina maana nahisi nitadoda huku wenzangu wanabebwa kupelekwa bafuni kuogeshwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Labda niende na mabomu ya kujilipua, maana akikataa inabidi nikufe tu....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Nashukuru sana mkuu Jolie Jolie japo mwenzenu hili jina mkuu kumwita madame nasikiaga ukakasi kweli ila no sweat kwa kuwa ndicho cheo cha humu Jf.Hahahaha fanya hivyo bachela sugu
Hapa sasa...Song : Kuchh Kuchh Hota Hai
lyrics : Sameer
Singers : Udit Narayan & Alka Yagnik
Tum paas aaye yoon muskaraye
Tumne na jaane kya sapne dikhaye
Ab to mera dil jaage na sota hai
Kya karoon haye kuchh kuchh hota hai
Na jaane kaisa ehsaas hai
Bujhti nahin hai kya pyaas hai
Kya nasha is pyaar ka
Mujhpe sanam chhane laga
Koi na jaane kyon chein khota hai
Kya karoon haye kuchh kuchh hota hai
Kya rang layi meri dua
Ye ishq jaane kaise hua
Becheiniyon mein mann
Na jaane kyon aane laga
Tanhai mein dil yaadein sanjota hai
Kya karoon haye kuchh kuchh hota hai
Mkuu, hivi unamjua FaizaFoxy weweeeee.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kwanza yeye mwenyewe ni bomu tosha...[emoji13] [emoji13]